Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Na kuhakikisha anaeneza dunia nzima kuwa Timbuktu ni mahali ovyo kabisa kwa kutumia Hollywood!
Thank you mother goddess, bado wanaifuta historia...lakini hawawezi, technology kubwa na sayansi vilishamiri bara hili, wajenga piramidi hawakushindwa kujenga meli kuvuka bahari kuu....walifanya hivyo kitambo.....
 
Kweli kabisa ndugu
 
Tuna ushahidi wote, ijapokuwa wamejaribu Sana kufuta
 
Duh!
 
Thank you mother goddess, bado wanaifuta historia...lakini hawawezi, technology kubwa na sayansi vilishamiri bara hili, wajenga piramidi hawakushindwa kujenga meli kuvuka bahari kuu....walifanya hivyo kitambo.....
Sasa mnalia nini.! Ikiwa ninyi
ndio mliowafunza ujanja huo!?

Kama ni hivyo,wanachukua kinachowastahili,wasingejua
Bila shaka kama si ninyi wenyewe.

Kwani Hamjiamini?
 
Sasa mnalia nini.! Ikiwa ninyi
ndio mliowafunza ujanja huo!?

Kama ni hivyo,wanachukua kinachowastahili,wasingejua
Bila shaka kama si ninyi wenyewe.

Kwani Hamjiamini?
Alalaye......!!!!!!!????? Ukimwamsha.....!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…