Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Wengi au labda wote, tunajua kuhusu historia, hutolewa kutoka vyombo vya habari vya White - aina moja au nyingine. Kwa maana kwamba hiyo tunaita historia leo ni maandiko ya wagiriki, warumi na waarabu, tengenezo la vyombo vya habari vya White ni kuwafurahisha na kufariji watazamaji weupe , sio kuwashawishi mtu yeyote. Baada ya yote, ni kiini macho. Kwa hiyo kwanza kabisa, hebu tufafanue ni nini REAL, na ni nini fantasy
 
Pia inadhihirisha kwamba blacks walisha kuwa na maingiliano na falme za mbali hapo zamani hata kabla yao kuja kwetu. Australia ina wakazi wa asili ambao ni ma blacks, pia inasemekana walitoka Afrika miaka 50000 kabla ya Yesu.

Huyo Simon ni baada ya kuanguka nadhani. Imani ya kiislamu ina mwingine kwa jina la Lukumani.
 
kule misri wakati kunajengwa pyramid chambo cha usafirishaji nilikuwa ngarawa
walikuwa wanatoa mawe upande mmoja wa MTO hadi upande mwingine
 
Unaifahamu vizuri kingdom ya mali enzi za mansa mussa? Na chuo kikuu cha kwanza inasadikika kilikuwa Timbuktu. Ndiyo maana hadi leo france anapiganisha makombola na kumaliza kabisa shahidi hizi za kihistoria.
Unajua sababu ya kurise kwa Mali empire? (sio kingdom)

Hicho chuo kikuu cha Timbuktu unadhani kilikuwa na status gani, course zipi, mitaala ipi na wakufunzi wapi labda?
 
Asante
 
Huu uzi nitaufuatilia mpaka mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…