Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
na teknolojia wanazotumia ni za kishetani pia,Kumbe we unalijua hili???? Iko siri kubwa mno imefichwa kuhusu maalbino, zaidi ya hayo mauaji yao, ambayo binafsi siyaafiki katika dunia ya sasa, lakinibabu zetu zamani waliamini watu weupe ni mashetani, waliogopa kabisa
Internet ni chanzo halali cha taarifa, nikiwa kama mtaaluma ni wajibu wangu kuhakiki, mfumo nzima wa elimu yetu inabidi ubadilike, kama kweli tunataka kuijenga Africa mojaHiyo habari bila shaka umegoogle paap ukapata maelezo hayo n.k, na hata mimi huwa nagoogle....lakini tunatakiwa tuthink na kujadili vitu beyond google.
Kwasababu hata waliofeed hizo taarifa katika google kama search engine ni watu.
Kwahiyo waliojenga old pyramids za Mexico ni watu weusi?
Zote duniani zilijengwa na watu weusi, na tutakuthibitishia hayo kwenye hii madaKwahiyo waliojenga old pyramids za Mexico ni watu weusi?
Ndio hivyo Dada kifingaha ha ha ha ha a watu hawajui kuwa yesu alivyokuja alikuta watu tayari wanaendelea na maisha yao longtime
Asante bukoba boymtu mweusi ulianzishwa kabla ya staarabu zote hizo ulizozitaja hazipo na wala hakuna mtu anawaza kama zitakuwepo,miaka 20000 kabla ya kuanza kwa Tawala ya Roma.
Yesu Kristo alikuja miaka 2018 iliyopita. Alikuja wakati wa utawala wa Kirumi.ha ha ha ha ha a watu hawajui kuwa yesu alivyokuja alikuta watu tayari wanaendelea na maisha yao longtime
Watu hawajui mlolongo wa mambo uliotufikisha hapa, ukiwa uliza historia wana kwambia historia kuanzia karne ya 15 baada ya kuzaliwa Yesu na wakati bara LA Africa Lina mlolongo wa mambo na historia maelfu yamiaka kabla ya kuzaliwa Yesu
Hebu thibitisha kuwa pyramids including za Mexico zilijengwa na watu weusi.Zote duniani zilijengwa na watu weusi, na tutakuthibitishia hayo kwenye hii mada
Dola LA Mmisri aka Khemet,dola lakiafrika ndio dola kongwe kuliko yote, wagiriki walipokutana na sisi,ndio wala staarabika, tuliwafunza sisiUstaarabu Mkuu ulioishape dunia kabla ya Warumi ni utawala uliowazaa Akina Aristotle, Plato na wengine wengi, yaani utawala wa Uyunani (Wagiriki).
Soma mada yote azrael, baadhi yamaswali yako yameshajibiwaHebu thibitisha kuwa pyramids including ya Mexico yalijengwa na watu weusi.
Nasubiri...
Hebu tujuze, ancient Egypt ilikuwa ulaya???? Wenda mbio vipi hujaagana na nyonga?NB: Hakuna ushahidi unaotuonesha tawala kubwa iliyoongozwa na mtu mweusi duniani asilani
Hapana, nipe ushahidi kuwa Pyramids za Mexico zilijengwa na mtu mweusi.Soma mada yote azrael, baadhi yamaswali yako yameshajibiwa
Ni nani aliyesema ilikuwa Ulaya?Hebu tujuze, ancient Egypt ilikuwa ulaya???? Wenda mbio vipi hujaagana na nyonga?
Hiyo dola ya Khemet ilikuwa chini ya Wabantu? Na ilitawala dunia au sehemu tu ya Misri?Dola LA Mmisri aka Khemet,dola lakiafrika ndio dola kongwe kuliko yote, wagiriki walipokutana na sisi,ndio wala staarabika, tuliwafunza sisi
Afu we utakuwa msabato wewe,tawala kubwa NNE???? Haha hahah, wapi utaacha dola LA Sumeria,wapi utaacha dola LA uajemi??? Na babeli,African ni kongwe kuliko zote,pole sana nduguNi wazi kabla yake kulishakuwa na Tawala kubwa nne, Tawala kama uami na uajemi wa kina Nebukanezer zilikuwa ni za dunia nzima, Babeli n.k
Wataka nyama meno huna, Keti pembeni basi tutukatieYesu Kristo alikuja miaka 2018 iliyopita. Alikuja wakati wa utawala wa Kirumi.
Ni wazi kabla yake kulishakuwa na Tawala kubwa nne, Tawala kama uami na uajemi wa kina Nebukanezer zilikuwa ni za dunia nzima, Babeli n.k
Ustaarabu Mkuu ulioishape dunia kabla ya Warumi ni utawala uliowazaa Akina Aristotle, Plato na wengine wengi, yaani utawala wa Uyunani (Wagiriki).
Hao waliishi miaka miingi kabla ya kuja kwa Yesu...na walishafika mbali mno:
-kikandarasi
-kielimu
-kidhana (Ideas)
-kifalsafa
-Kiunajimu
-Kitabibu
na
-kisaikolojia.
NB: Hakuna ushahidi unaotuonesha tawala kubwa iliyoongozwa na mtu mweusi duniani asilani.
Kwanini mnataka Kingdoms kama Buganda ya 1700-1800 na empires kama Mali na songhai za 1300- 1400 BC ziwekwe kwenye record ya miaka maelfu yaliyopita?
Kaka, kama unakubali misri ilikuwa bara LA Africa, hebu ingia google soma history of ancient Egypt,ukimaliza njoo nikupe maelekezo mengineHiyo dola ya Khemet ilikuwa chini ya Wabantu? Na ilitawala dunia au sehemu tu ya Misri?
How did they met with Greece people?
Msabafo [emoji117] Msabato.Afy we utakuwa msabafo wewe,tawala kubwa NNE???? Haha hahah, wapi utaacha dola LA Sumeria,wapi utaacha dola LA uajemi??? Na babeli,African I kongwe kuliko zote,poe sana ndugu
of Elam (Medo-Persia, or Iran)
Iran, the land of the Aryans has a long and rich history. Some of the world's most ancient settlements have been excavated in the Caspian region and on the Iranian plateau. Village life began there around 4000 BC. (post Edenic era)
MTU mweusi ni MTU wa mbengu tatu, ya kibantu ndio kiini, inakuja Tutsi naethiopian type, zote hizi zina vijitawi vyake, hizo ndio asili ya binadamu wote dunianiNi nani aliyesema ilikuwa Ulaya?
Kwanza nikuulize swali ili twende sawa zaidi:-
Hivi unawazungumzia watu weusi kumaanisha wabantu au?
Tutukatie [emoji117] TukukatieWataka nyama meno huna, Keti pembeni basi tutukatie
29 November 2009 | Feature Article"Ni ushahidi upi unaoonesha kuwa watu weusi ndio waliojenga pyramids hadi ya Mexico? "