Jiongelee mwenyewe, nisiwachoshe wewe na nani, mmeo ? Unaeamini taarifa za polisi ni wewe naive, clueless, citizen.Usituchoshe nenda kituoni utapata maelezo kamili, sisi habari tulizonazo ni AMEJINYONGA kwa hofu ya kubinywa mbupu huko polisi [emoji28]
Ulitumwa uniquote mbona una kiherehere sana, kama unahusika na hayo mauaji kajisalimishe mwenyewe bila hivyo mtajinyonga sana tuJiongelee mwenyewe, nisiwachoshe wewe na nani, mmeo ? Unaeamini taarifa za polisi ni wewe naive, clueless, citizen.
Rhabhekhaaaaaaa dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilidhani Watanzania wanachukia Ushoga na Usagaji na hao wauaji wangepewa tuzo ya kumuua msagaji kumbe ndio kwanza na wao wanajinyonga kwa hofu ya kukamatwa na polisi, [emoji23] ama kweli za kuambiwa changanya na zako,
BICHWA KOMWEE njoo ujionee mauza uza huku
cocastic uko wapiii unapitwa
Au shoga, hebu muulize atuambie hapa.Kuna Sheria au ruksa ya kumuua mtu kisa lesbian?
OkJeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usituchoshe nenda kituoni utapata maelezo kamili, sisi habari tulizonazo ni AMEJINYONGA kwa hofu ya kubinywa mbupu huko polisi [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waropokeee tenaaa sasa tuwasikieee, yaan nachekaa km mazurii vilee.Huu uzi wanaupita kimya kimya huku wanasonya, nikadhani wataandamana kwenda kuwatetea mashujaa wao kumbe na wao wamejificha chini ya Meza huku wanatetemeka na wengine hadi kufuta comments za awali [emoji23][emoji119]
Nilidhani kwa kuwa wameshafariki ndiyo basi tena upelelezi umeshakufa.Kumbe mnaweza, la Lisu mbona kama "limewashinda", kweli serikali ya maguguli inahusika na kupigwa risasi kwa Lisu
Kiherehere unacho wewe cha kuwaongelea wengine. Speak for your godamn self!Ulitumwa uniquote mbona una kiherehere sana, kama unahusika na hayo mauaji kajisalimishe mwenyewe bila hivyo mtajinyonga sana tu
Nusrut Hanje huyu Msaliti WA chama chake!?Bado kutanzua sintofahamu juu ya kifo cha nusrat hanje wa udom...wakitanzua huu utata na sintofahamu hii kuhusu hichi kifo ....ndipo nitakuwa na imani na hili jeshi.
Hahahahahaha kama kitahira kilichopotea njia,Kiherehere unacho wewe cha kuwaongelea wengine. Speak for your godamn self!
Kajinyonga, kajinyonga, ulikuwepo wakati anajinyonga ???
taahira ni wewe unaemini maelezo ya polisi wa bongoHahahahahaha kama kitahira kilichopotea njia,
Tuliwaambia Damu ya Milembe itawafata popote mtajinyonga sana bado wewe.
Wabongo maneno mengi ila waogaHuu uzi wanaupita kimya kimya huku wanasonya, nikadhani wataandamana kwenda kuwatetea mashujaa wao kumbe na wao wamejificha chini ya Meza huku wanatetemeka na wengine hadi kufuta comments za awali [emoji23][emoji119]
Hapo ndio hua wananiacha hoi Watanzania wenzangu, ukiwakuta kwenye keyboard wakivuja jasho kwa hasira unaweza ukasema leo nchi inapinduka kumbe wakiona bunduki na yale magwanda mbioooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] famasiala niniWabongo maneno mengi ila waoga
Famchezo nini msukuma kaogopa kwenda kuwa mke jela kaamua ajinyonge
Hilooooooo unatetemeka eeh, kajisalimishe mapema wakigonga hodi nyumbani kwako umekwishaaaaaaa tena wewe ulivyomuoga utajidumbukiza kwenye pipa la tindikali [emoji23]taahira ni wewe unaemini maelezo ya polisi wa bongo
kujinyonga kunatangazwa na coroner au medical examiner, sio polisi bila proof yeyote
alisikia anatafutwa na polisi akajinyonga
alikwenda kuwaonyesha wanakoficha silaha akajaribu kukimbia akapigwa risasi
polisi walipiga risasi matairi lakini moja ikampata kichwani akafia njiani akipelekwa Muhimbili
inabidi uwe bonge moja la dunderhead kuamini upuuzi kama huo
Sheria ifuate mkondo wake.Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
umejuaje kajinyonga ?Huyo aliyejinyonga ukute ndio mhusika mwenyewe! Kwanini ajiue kama Hana hatia?