Watumishi wengi wa Serikali hawana tija. Mishahara inapotea bure

Watumishi wengi wa Serikali hawana tija. Mishahara inapotea bure

Mkuu unatakiwa utoe mfano wa huyo mtumishi wa umma.

Maana watu wanakuona una wivu tu..

Kwa mfano afisa mtendaji wa kijiji au kata unataka muda wote akae ofisini?

Unataka asile??

Au unataka Rais naye asipewe mshahara kwa kuwa hakai Ikulu muda mwingi?
Of course, Watumishi wa umma hawapendwi na Jamii. Wanna maadui wanaojichekesha kinafiki tu wakiwaona.

Na ndio maana Wanasiasa ili kuwafurahisha Wananchi huwa wanafanya Watumishi kama PUNCHING BAG aka STEPPING STONE.

Tena bila sababu za Msingi.

Muhimu ukishajua Hilo, ishi na kwa AKILI.

Nakumbuka Kuna kipindi KIHAMIA alitumbuliwa NEC akapewa kuwa DC.

Basi MUDA wote akawa anatembea na LUNDO LA WAANDISHI wa HABARI kwenda kutumbua WATUMISHI hasa Watendaji Kata na Vijiji, wamekaa sana CELLO🤣🤣

Hii Ni kuonesha kuwa ANACHAPA sana KAZI. Baada ya muda akawa RAS Kilimanjaro.
 
Nchi nyingi za Ulaya ajira ni za mikataba isipokuwa kuna baadhi ya kada chache ndiyo ajira zao ni za kudumu kama jeshi, usalama wa taifa, madaktari na majaji pekee zingine zote ni mikataba mazee.
Huko Ulaya unajua wanalipwa?

Unajua Ulaya wanalipwa SAA?
 
Of course, Watumishi wa umma hawapendwi na Jamii. Wanna maadui wanaojichekesha kinafiki tu wakiwaona.

Na ndio maana Wanasiasa ili kuwafurahisha Wananchi huwa wanafanya Watumishi kama PUNCHING BAG aka STEPPING STONE.

Tena bila sababu za Msingi.

Muhimu ukishajua Hilo, ishi na kwa AKILI.

Nakumbuka Kuna kipindi KIHAMIA alitumbuliwa NEC akapewa kuwa DC.

Basi MUDA wote akawa anatembea na LUNDO LA WAANDISHI wa HABARI kwenda kutumbua WATUMISHI hasa Watendaji Kata na Vijiji, wamekaa sana CELLO🤣🤣
Mfumo ovu kabisa
 
Of course, Watumishi wa umma hawapendwi na Jamii. Wanna maadui wanaojichekesha kinafiki tu wakiwaona.

Na ndio maana Wanasiasa ili kuwafurahisha Wananchi huwa wanafanya Watumishi kama PUNCHING BAG aka STEPPING STONE.

Tena bila sababu za Msingi.

Muhimu ukishajua Hilo, ishi na kwa AKILI.

Nakumbuka Kuna kipindi KIHAMIA alitumbuliwa NEC akapewa kuwa DC.

Basi MUDA wote akawa anatembea na LUNDO LA WAANDISHI wa HABARI kwenda kutumbua WATUMISHI hasa Watendaji Kata na Vijiji, wamekaa sana CELLO🤣🤣
Kabisa mkuu...

Watu wasio watumishi wana kinyongo sana na watumishi
 
Hata wababa wengi wa familia wanaziba nafasi bure tu
Imagine mida kama hii mtu anashindwa kuhudumia familia unamkuta yupo kwenye mitandao
Tena amechomekea vizuri na ukimuona kama mtu vile
Hahaha hujaachiwa hela ya matumizi nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana.

Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Mkuu kajaribu na wewe huko kwenye utumishi wa umma kwenda kutupia pamba na kuzurura huku na huko bila kufanya kazi.....halafu uvute mshahara kiulainiiiii.
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana.

Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Unapoleta hoja kama hizi ziambatane na takwimu.Mfano,Katika wilaya X watumishi wa Idara X walifanya hiki na hiki siku X.
Kinyume na hapo ni majungu, unafiki na uzandiki mkubwa
 
Extra duty hulipwa na BAJETI husika ya kituo acha kuchoronga; Kama hawakuweka vifungu Ni lao... Watu wanajilipa kila kukicha
Ni ngumu kulazimisha HAKI kutoka kwa mtu ambaye wewe mwenyewe humtendei HAKI.

Mfano, shule labda in walimu wawili tena katika mazingira magumu.

Au Zahanati ina CO mmoja au Nurse Wawili, wanafanya kazi SAA 24 bila extra duty zozote.

Kwanza hata kazi zenyewe WANAJITOLEA sana.
 
Huko Ulaya unajua wanalipwa?

Unajua Ulaya wanalipwa SAA?
Masaa hapa bongo hawawezi kulipa maana uchumi wa kitoto!

Kumlipa mtu kwa masaa sio mchezo sababu tu kama utalipa standard ya elfu 10 kila lisaa kwa mtumishi wa kawaida ina maana umlipe mtu elfu 80 kila siku.

Kwa mwezi mzima mtu yule yule uliokuwa unamlipa laki 4 utatakiwa umlipe mtu 2.4M serikali ipi hio ya kukubali hilo? Hii hii ya CCM?
 
Extra duty hulipwa na BAJETI husika ya kituo acha kuchoronga; Kama hawakuweka vifungu Ni lao... Watu wanajilipa kila kukicha
Kituo kama hakina pesa?Dawa ni wabunge wapunguziwe posho na mishahara na siku za kukaa bungeni wapewe motisha watumishi wa umma.
 
Wivu ni kitu kibaya sana katika maisha ! Ukiona mtumishi amekaa bila kazi ujue kashatimiza wajibu wake ! Kama ni kero mbalimbali za umma wapo wa kuzisemea kwenye umma na huleta kwa watu wa chini na kufanyia kazi. Siyo kila mda mtumishi anakuwa busy ofisini kuna wakati kazi ambazo amepewa anakuwa ameshazimaliza kwanini asipumzike .
Hawezi jua, hata kuhudhuria ofisini tu ni kazi maana majukumu yanapotokea muda wowote unakuwepo, kinachomuuma jamaa ni watu kwenda kupiga breakfast na lunch na kutupia pamba.
 
Masaa hapa bongo hawawezi kulipa maana uchumi wa kitoto!

Kumlipa mtu kwa masaa sio mchezo sababu tu kama utalipa standard ya elfu 10 kila lisaa kwa mtumishi wa kawaida ina maana umlipe mtu elfu 80 kila siku.

Kwa mwezi mzima mtu yule yule uliokuwa unamlipa laki 4 utatakiwa umlipe mtu 2.4M serikali ipi hio ya kukubali hilo? Hii hii ya CCM?
Ipunguzwe idadi ya watumishi na wabunge walipwe kwa masaa
 
Hivi ndege 11, Chato airport, na miradi ya kipumbavu ya Magufuli hujui kuwa vimemeza matrilioni bila tija?
Kwanini usizungumzie hivyo unazungumzia watumishi ?
Kwanini usishauri serikali/mwajiri kutoa Milo miwili au mmoja kwa watumishi ili wawe busy na kazi tu?.
Kuna ofisi za umma zimehire chattering companies kutoa chakula kwa watumishi, huko huoni movement za hovyo na watumishi hawana stress wawapo kazini.
Note: Ofisi ambazo watumishi wanapewa stahiki nyingi na bora, ndizo ofisi zinazoongoza kwa huduma bora.
Hivi mtumishi wa umma umlipe laki 5,7, 8,6 aitumie mwezi mzima pasi na posho ataachaje kuhangaika awapo kazini?.
Wivu ni hatua ya mwisho katika mafunzo ya uchawi.
 
Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana.

Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.

Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.

Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.

Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.

Hii nchi dah.
Kazi za serikali sio ngumu kihivyo kwa hiyo unataka watu walale ofisini
 
Back
Top Bottom