Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Halafu wanafunzi mnawaambia wachange kwa ajili ya chakula wakati hawana mishahara. Wafanyakazi unaiambia serikali iwape chai na chakula wakati wanalipwa.Ndio hivyo serikali itoe chakula na chai ili wtumishi wasitoke kwenda kufanya hivyo vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kama ulivyosemaUnakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana.
Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.
Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.
Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.
Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.
Hii nchi dah.
Hasa hasa halmshauri hukoNi watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.
Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.
Watumishi wa miaka gani na wanaofanya kazi gani unaowazungumzia? Maana watumishi wa serikali wapo kada tofauti tofauti.Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana.
Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake.
Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.
Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.
Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.
Hii nchi dah.
Huo siyo wivu tena bali ni umaskini wa akili au mawazo.Wivu ni kitu kibaya sana katika maisha ! Ukiona mtumishi amekaa bila kazi ujue kashatimiza wajibu wake ! Kama ni kero mbalimbali za umma wapo wa kuzisemea kwenye umma na huleta kwa watu wa chini na kufanyia kazi. Siyo kila mda mtumishi anakuwa busy ofisini kuna wakati kazi ambazo amepewa anakuwa ameshazimaliza kwanini asipumzike .
1. Hili ni miongoni mwa tatizo, hakuna KPI kwa watumishi wengi ambazo ni vigezo vya kuassess kaziTatizo serikalini hakuna targets kwa mfanyakazi na hawafanyiwi tathmini kwakua hawasign KPI na ndio wanakwamisha sana Taifa hizi performance na mafanikio tunayoona kwenye sekta binafsi wafanyakazi wake wana sifa sawa kabisa na hawa waserikali ni kwakua wamesoma vyuo hivi hivi lakini utamaduni wakifanya kazi kwa malengo ndio unawatofautisha
Of course, kama hivyo ndivyo maana yake huwezi kukopi kila kitu kutoka Ulaya.Masaa hapa bongo hawawezi kulipa maana uchumi wa kitoto!
Kumlipa mtu kwa masaa sio mchezo sababu tu kama utalipa standard ya elfu 10 kila lisaa kwa mtumishi wa kawaida ina maana umlipe mtu elfu 80 kila siku.
Kwa mwezi mzima mtu yule yule uliokuwa unamlipa laki 4 utatakiwa umlipe mtu 2.4M serikali ipi hio ya kukubali hilo? Hii hii ya CCM?
yaani watu wa private wanavyoisema hiyo KPI utadhani ni kitu cha ajabu,,,utadhani ni magenious balaa ,, utadhani sio wavivu na wanawaona watumishi wa serikali ni vilaza balaa,,,,,mafanikio ya sekta binafsi ni yapi (mbona mara nyingi wanatangaza kujiendesha kwa hasara pamoja na hizo KPI )...serikali inatoa huduma kwa asilimia kubwa haifanyi biashara....nenda baadhi ya taasisi za serikali watu wanapiga kazi sana tu......Tatizo serikalini hakuna targets kwa mfanyakazi na hawafanyiwi tathmini kwakua hawasign KPI na ndio wanakwamisha sana Taifa hizi performance na mafanikio tunayoona kwenye sekta binafsi wafanyakazi wake wana sifa sawa kabisa na hawa waserikali ni kwakua wamesoma vyuo hivi hivi lakini utamaduni wakifanya kazi kwa malengo ndio unawatofautisha
Solution Ni kuwa na Watumishi wanaotosha.Maswali mengi ya nini? toa solution na wewe
Hapa tunazungumzia UTUMISHI wa UMMA.Extra duty hulipwa na BAJETI husika ya kituo acha kuchoronga; Kama hawakuweka vifungu Ni lao... Watu wanajilipa kila kukicha
Of course ukweli ndio huo.Kabisa mkuu...
Watu wasio watumishi wana kinyongo sana na watumishi
Wafanyakazi wa kada zifuatazo hawawezi kuwa na ratiba ya namna hii na ikitokea wakafanya hivyo, chances ni kwamba mhusika atafukuzwa kazi ndani ya mwezi mmoja. Kada ambazo hawawezi kuwa na ratiba za namna hii ni:Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake. Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.
Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.
Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.
Hii nchi dah.
Ni kweli kabisa !!Unakuta mtumishi wa serikali anaingia kazini saa 2 asubuhi. Saa 3 anatoka kwenda mtaani kutafuta chai...anarudi ofisini saa 5 au 6 mchana. Anavuta muda ikifika saa 7 mchana anatoka kwenda kutafuta chakula cha mchana. Anarudi saa 8 mchana. Saa 9 huyo anaondoka zake. Ni watumishi wengi sana wa Umma wana hii ratiba kila siku, kila wiki, mwezi na miaka kadhaa... Cha ajabu mwisho wa mwezi mshahara unaingia.
Viwango vya mishahara na faida au output ya mtumishi wa Umma havilingani kabisa. Mtu anaweza kukaa miaka 3 hadi 5 au 10 hajawahi kufanya kazi yoyote kabisa. Lakini unamkuta kachomekea, kaulamba mkanda nje.
Halafu unakuta mtu ana elimu nzuri kabisa.
Hii nchi dah.
Watumishi hawalipi kodiAcha Wivu, wanafanya kazi kubwa, na niwalipaji wa Kodi wazuri ya Kila Mwezi na Kodi Zingine wanalipa pia
Kufanya hivyo, kutafanya mzunguko wa fedha kwenda kwa wananchi kusinyaa. Hilo jambo si zuri kwa mstakabali wa ustawi wa jamii. Hata hivyo, maeneo maalumu kulingana na unyeti wa kazi hilo wazo linakubalika.Ndio hivyo serikali itoe chakula na chai ili wtumishi wasitoke kwenda kufanya hivyo vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu wa idara na viongozi wengine wa juu wanalipwa parefu sn pamoja na kupewa vyote ulivyovitaja wanafanya nini sasa cha maana zaidi ya majungu na kujipendekeza? mfumo mzima ufumuliwe tuanze upya kwa mikataba na watu wawajibike haswaSolution Ni kuwa na Watumishi wanaotosha.
Baada ya Hapo, kila mtumishi apewe haki yake kama mshahara, extra duty, sehemu ya kuishi, nauli au usafiri, na chakula wakati wa kazi.
Mshahara uwe classified katika mafungu, Mshahara, extra duty, nyumba, matibabu ( housing allowance ) n.k
KILA mtu akishapata haki yake, then una haki ya kumdai na wewe UTUMISHI ULIOTUKUKA.
Vinginevyo ASHUGHULIKIWE.
Kwa nini walipwe pesa yote hiyo? wanazalisha kitu gani kugonga meza? wasilipwe pale sababu hilo ndiyo eneo lao la kaziKwa wabunge inawezekana wakala 80 kila siku