Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Hapo "Wamba" tunasubiri kusoma mkeka,
Uyole-Mbeya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilkua nawaza vyeti, PC, na fedha unadhan mchezo, ooooh, nkikumbuka PC angu ilitoka 1.2Mil tena nliagiza nje wee, acha nivurugweeeh mie
Boda alikula makofi ya mgongo kama farasi au punda!
 
Dar-Songea mbali japo tofauti yake ni ndogo tu.
Nadhani hazifiki kilometa 70 zilizozidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa kweli songea mbali jaman, yaan nikiwazaga safari ya home had kichwa kinauma, unakaa kwa seat had makalio yanaomba poooh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Plus kutapika nafika final destination sina hali, na homa juu ya siku 2 kwani. Aaaaah.
 
Kwa kweli songea mbali jaman, yaan nikiwazaga safari ya home had kichwa kinauma, unakaa kwa seat had makalio yanaomba poooh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Plus kutapika nafika final destination sina hali, na homa juu ya siku 2 kwani. Aaaaah.
Utaenda Bukoba sasa wewe?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…