Daah kuna mwamba Masia bus we Acha inaovertake kitonga au kushuka kitonga na 80Hakika mkuu umenikumbusha mbali sana,kiswele ilikua moto chini yale mabasi,Lukumburu pass ilikua kama wanapita kona za Iyovi...Kwacha mmm walikua na basi yao moja CD (Navolonge Swela)hii Leyland CD ilikua kiboko ya Scania,kipindi tumefunga chuo pale Mkwawa CNE tunapelekwa home na hii bus ilikua raha tupu,Navalonge Swela inaanza kushusha kuanzia pale makao makuu ya ccm mkoani sisi huku Makanyagio ni mziki mtupu kutoka kwenye engine ya CD hii,yeah nhe nimeishi maisha to the best..
Nina Uhakika is ingekuwa Ving'amuzi Coast Line angeshauwa Sana .. Vile vigari bodi Nyembamba Arusha - Kigoma Ni Balaaa... Vinateleza Kama nyoka...Arusha-Mpanda
Arusha-Kigoma
Moshi-Tabor(ingawa hizi sio sana)
Mkuu kwanini Kisbo aliacha route ya Dar-Mbeya kwa muda mfupi. Na route ya Mbeya-Mwanza apeleki gari?Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna dereva anaiweza BENZI.Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA
Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali
View attachment 1851887View attachment 1851888View attachment 1851889
Ligi ya DAR - MBEYA ni ya SAULI.Huyu ndiye anayewakimbiza ukifatilia ligi Dar Mbeya
SAULI huingia Dar/Mbeya Saa 12:30 mpaka 40Hawa watoto hawamsumbui huyo mwambaView attachment 1851894
SAULI NI BENZI.Sauli scania Ina piston 5 na valve 20 engine scania .Deer engine ni cummin piston 6 valve 24.Deer nyepesi scania nzito.
Hakuna basi ya Newforce/Golden Deer yenye uwezo wa kumfukuza Sauli hata siku moja.
Niwarudishe nyuma kidogo,enzi stendi ya mabasi ipo pale Ubungo,Newforce/Deer aliamua kukimbilia Shekilango kwa basi za Mbeya/Tunduma tu na kwa safari za Songea alibakia palepale terminal Ubungo,lengo kubwa kimkakati ilikuwa ni kumkimbia Sauli, Newforce/Deer akaamua kuanzia ligi pale nje ambapo hakuna foleni kubwa ya kutoa mabasi asubuhi,na bado alikuwa anapelekewa moto japo anaanzia nje.
Mchina pumzi fupi,hawezi ligi,na mara nyingi sana hao Newforce/Deer ili akae kwenye mkeka wa Nsalaga huwa hashushi abiria pale Chimala,mashine inapita kama ya wizi wakati Sauli anashusha na bado atapelekewa moto kolikoli hadi kufika pale Nsalaga/Uyole ambapo mikeka ya Mbeya inachukuliwa.
Sheikh Rama wa DPK,au Linyama wa DPK pia zamani DJQ,wanaelewa kabisa moto wa Sauli na kama kumla wanavizia sehemu za kushusha abiria,wapo tayari wakukodie bodaboda ikurudishe ili tu akae juu kwenye mkeka.
Mchina akipata chuma ya maana ulimi lazima uende nje,mnakumbuka BOMBASTIC ya Kisbo chini ya usimamizi wa Bob dere Bubu (baadaye akahamia kwenye CONFIDENTIAL CQX)ya Kahama ilivyomsumbua Newforce/Deer safari za Mbeya?
Shortly ni kuwa anayemuweza Sauli ni KLM,au Rungwe na zile Gemilang zake japo nayeye ameshaziuza nyingine kwa Sauli.
Kuna mwamba yupo benchi sasahivi,anaitwa Mwanyilu,huyu hadi kamanda Muslimu anamfahamu kwa kupeleka mioto.
Sauli inauwezo wa kupanda kitonga huku inapiga alarm ya overspeed,sio hatari tu bali ni zaidi ya hatari wakuu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tumelala yooh! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anaitwa Waubani linyama AKA (wali nyani) ni dereva wa mabasi ya kampuni ya NEW FORCE & GOLDEN DEEER route ya Dar mbeya tunduma na kwa sasa anaendesha bus no. T712 DPK pia alishaendesha mabasi ya saibaba kabla ya kuendesha new force & golden deer.
Ukiachana na sifa yake ya kutunza muda kuwafikisha abiria mapema huko kusini pia ni mmoja wa madereva vipaumbele wa kampuni hiyo jamaa yuko vizuri sana ni mtu asie na makuu na ni mtu poa sana nje na ndani ya kazi yake.
Shusha meme nyingine kuhusu mwamba. View attachment 1852209View attachment 1852211View attachment 1852212View attachment 1852213View attachment 1852214View attachment 1852215
View attachment 1852210
Acha Utani Mtakatifu Anna VIPI Dar Mwanza au Msoma??Dk zikiongezwa tutafika usiku wa manane tuendako.
Mm natamani zingekuwa 5 tu,Safari ya Tunduma/Mbeya-Dar ni ndefu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiongelea hiyo route kwa sababu ndiyo inayonihusu.Acha Utani Mtakatifu Anna VIPI Dar Mwanza au Msoma??
🤣🤣🤣🤣"Kama imekuuma sana kunywa sumu" View attachment 1852946
Shekilango ya wapi unaizungumzia wewe,wengine pale ndio sehemu zetu za kutupatia ridhki mkuu,Newforce ana muda gani Shekilango mkuu?Acha kudanganya watu newforce alihamia shikilango muda mrefu tu kabla hata sauli hajaleta basi zake enzi ya
Kisbo dar-mbeya, ilasi newforce bado alikuwa anatokea shekilango
Kisbo,kwa safari ya Mbeya alikuwa na gari moja tu hiyo Bombastic,iende,irudi,leo akimfukuza DFR ya Jaja,kesho anafukuza DJQ ya Linyama.Mkuu kwanini Kisbo aliacha route ya Dar-Mbeya kwa muda mfupi. Na route ya Mbeya-Mwanza apeleki gari?