cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Maliwato bhana sio kula wee, [emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenda na muda unakula nini muda wote huo beba lia kwenye gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maliwato bhana sio kula wee, [emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenda na muda unakula nini muda wote huo beba lia kwenye gari
Ila akili za watu wa uyole [emoji23]..
Nilishawahi enda, tulilala kahama,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah. Wengi wao wanakua vijana na boda boda.Ila akili za watu wa uyole [emoji23]..
Kuna siku wameizingira sauli wanaimba"mnyama,mnyama" ilifika sijui saa 11 ile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar Songea Jumlisha hizi hapa chini
Huwezi amini,kuna watu wa kila aina,wapo askari,walimu,madokta,bodaboda uliowasema na kila aina ya watu wenye kupenda mabasi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah. Wengi wao wanakua vijana na boda boda.
Yes, Dar - Tunduma. Ni route ya muda mrefu sanaI mean gari ya kampuni ya KILIMANARO dar -Mbeya?
Achana na hizo enzi mkuu. Dar Singida unafika saa8 na dom - singida hamna lamiSiku hizi hakuna basi zinazotembea...
Mabasi ya huko kusini yalikuwa yanatembea enzi za kina Kiswele, Kwacha, Matema, Hood...Kiswele huyu ashawahi fika Dar saa saba mchana toka Mbeya/Kyela (enzi hizo stendi zipo town)
Kidogo na juzi juzi hapa walipokuja kina Happy Nations, Nganga na wale Majinjah, sijui hali zao siku hizi zipoje...mara ya mwisho Happy Nation kuipanda ile ya Tunduma-Dar ilifika Dar saa tisa kasoro hivi alasiri
Umeunganishwa tayariHizo ni meme tu. dereva kaongelewa kwa urefu ndani ya uzi huu
Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa
Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali Anaitwa Waubani linyama AKA (wali nyani) ni dereva wa mabasi ya kampuni ya NEW...www.jamiiforums.com
Saaaana aiseeWaubani Ali, mtoto wa mzee Chochea, wakazi wa barabara mbili - Iringa mjini. Toka primary mwili huohuo.. anaupiga mwingi sana barabarani, acha aendelee kutupa burudani twitani.. T712DPK anaiheshimisha sana
😀 😀 😀 😀Wanatatu tatizo la mikanda mifupi kwa sasa.
Upembuzi yakinifu unaendelea juu ya mkanda na kitambi chake
Kumbe toto la kingoniKwa kweli songea mbali jaman, yaan nikiwazaga safari ya home had kichwa kinauma, unakaa kwa seat had makalio yanaomba poooh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Plus kutapika nafika final destination sina hali, na homa juu ya siku 2 kwani. Aaaaah.
Hakika mkuu umenikumbusha mbali sana,kiswele ilikua moto chini yale mabasi,Lukumburu pass ilikua kama wanapita kona za Iyovi...Kwacha mmm walikua na basi yao moja CD (Navolonge Swela)hii Leyland CD ilikua kiboko ya Scania,kipindi tumefunga chuo pale Mkwawa CNE tunapelekwa home na hii bus ilikua raha tupu,Navalonge Swela inaanza kushusha kuanzia pale makao makuu ya ccm mkoani sisi huku Makanyagio ni mziki mtupu kutoka kwenye engine ya CD hii,yeah nhe nimeishi maisha to the best..Siku hizi hakuna basi zinazotembea...
Mabasi ya huko kusini yalikuwa yanatembea enzi za kina Kiswele, Kwacha, Matema, Hood...Kiswele huyu ashawahi fika Dar saa saba mchana toka Mbeya/Kyela (enzi hizo stendi zipo town)
Kidogo na juzi juzi hapa walipokuja kina Happy Nations, Nganga na wale Majinjah, sijui hali zao siku hizi zipoje...mara ya mwisho Happy Nation kuipanda ile ya Tunduma-Dar ilifika Dar saa tisa kasoro hivi alasiri
Vizuri tu hasa zile za kubalance mwanga ikiwemo spotlight Ili usiingie mtaroniHv huwa mnawezaje kuendesha gar mkiwa mmevaa miwan,
Huyu jamaa katrend sana