Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Na akil pi inachangia mkuu.. weng wana akil.. sio mapopoma yanayoamin kwenye wachungaj na manabiii.. yaan mtu anamuamin pastor kuliko hata Mungu.. mapopoma ya mwamposa au shila. Au joe davie
 
Nakubaliana na wewe lakini tulikatazwa kuabudu sanamu kwa Musa katika amri kumi.

Halafu kumbuka sisi ni wa agano jipya.

Mwisho utasema sasa ni halali kufanya sadaka za kuteketeza leo kisa zamani zilifanywa
 
Watakwambia hiyo ilikuwa agano la kale.
Kwamba agano la kale Mungu alikuwa anakubali Sanamu ziabudiwe.
Ndio maana wakatoliki wanawapuuza na kuamua kukaa kimya.
Mkuu kama unakubali hizo ibada za kale basi chinjeni kabisa kondoo kanisani mteketeze kwa moto. Ndivyo ibada za kale waliruhusiwa
 
Mbona wao wakatolik hawawashutum hao wengn.. wako kimya tuu na wapole.. kwa akil ya kawaida unaona din ya kwel hapo ni ipi.. ile ya kusimanga wengne au?.. hahah.. ila pia akil.. wakatolik weng wana akil
Washaona bia tamu, wanaendeleza maisha yao
 
Wote wanaakili ndogo. Wanakubali vipi kuwekwa Masanamu kwenye nyumba Ibada, hali ya kuwa tunajua fika hayadhuru wala hayanufaishi ?

Akili iheshimiwe.
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Haya masanamu allah aliyaweka kwenye msikiti wa suleimani wake , je unaweza kuniambia lini allah alikuja kukataza kuweka masanamu msikitini?
 
Waislamu siwezi kuwasemea lakini Wakristo wengine wanawashutumu Wakatoliki kwa sababu wanafundisha mambo ambayo ni unbiblical na mambo ambayo yalirithiwa kutoka katika desturi za Dini za Kipagani za Kirumi na Kiyunani
Bible is not biblical
 
Rubbish
 
🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake
 
Mkuu hizo sherehe mbona hazina ukatoliki ndani yake. Yesu kristo sio mali ya wakatoliki pekee. Mwenyezi Mungu ni wa wote. Valentine ni udabwi udabwi tu wa kuongeza ka kibwagizi katika maisha.

Ungetaja sherehe za watakatifu wa kikatoliki zinazovamiwa na madhehebu mengine hapo ungeeleweka
 
Sitetei ukatoliki ila 99% ya ishu za kikristo ziliwekwa na wakatoliki nao walizitoa kwenye tamaduni za jamii za kale. Kwahiyo kwa ujumla ukristo ni mali ya wakatoliki labda niconclude hivyo
 
Unaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.

Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…