Sitetei ukatoliki ila 99% ya ishu za kikristo ziliwekwa na wakatoliki nao walizitoa kwenye tamaduni za jamii za kale. Kwahiyo kwa ujumla ukristo ni mali ya wakatoliki labda niconclude hivyo
Nimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.Hujawahi jibu kwa nini unabusu na kusujudu kuelekea jiwe, embu jibu
Suleiman Alie tajwa na Allah alikuwa muislamu au dini gani?Unaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.
Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
Nenda trace history ya kanisa lako, usipokutana na catholic basics ujue siyo ukristo.Ukristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Umar alipingana na Muhammad , Umar alilidharau jiwe , kwa hiyo unataka tumfuate Umar na tumpinge muhammad,Nimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.
Na hadithi ya swahaba Umar bin Khatwab nilikuwekea.
Nenda trace history ya kanisa lako, usipokutana na catholic basics ujue siyo ukristo.
Tatizo mnahisi tu au mnaaminishwa bila kujua ukweli. Ili kuelewa kuabudu sanamu ni nini ni lazima uelewe maana ya kuabudu kwanza kama hujui hilo basi usianze kupayuka payuka kuwa wakatoliki wanaabudu sanamu.Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.
Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.
Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.
Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19
17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Unafurahisha Sana[emoji23], tarehe 14/2 ni sikukuu ya mtakatifu Valentino au St. Valentine .....we mwenyewe si unaona dini zote zinasherehekea hiyo sikuMkuu hizo sherehe mbona hazina ukatoliki ndani yake. Yesu kristo sio mali ya wakatoliki pekee. Mwenyezi Mungu ni wa wote. Valentine ni udabwi udabwi tu wa kuongeza ka kibwagizi katika maisha.
Ungetaja sherehe za watakatifu wa kikatoliki zinazovamiwa na madhehebu mengine hapo ungeeleweka
Hakuna andiko lolote katika agano Jipya linalosema pakiwepo na Sanamu Kanisa I ni ibada ya Sanamu.Mkuu kama unakubali hizo ibada za kale basi chinjeni kabisa kondoo kanisani mteketeze kwa moto. Ndivyo ibada za kale waliruhusiwa
Unafurahisha Sana[emoji23], tarehe 14/2 ni sikukuu ya mtakatifu Valentino au St. Valentine .....we mwenyewe si unaona dini zote zinasherehekea hiyo siku
Habari za wakati huu wapendwa
Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.
Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.
Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.
Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.
Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.
Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.
Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.
Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.
Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.
Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.
Umar sawa yupo juu SanaNimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.
Na hadithi ya swahaba Umar bin Khatwab nilikuwekea.
Haya basi tafuta kitabu chako mwenyewe ili ukitumie nasio kutumia biblia ambayo ni mali ya kanisa katolikiUkristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Kumbe unajua kuwa tulikatazwa kuabudu sanamu.Nakubaliana na wewe lakini tulikatazwa kuabudu sanamu kwa Musa katika amri kumi. Halafu kumbuka sisi ni wa agano jipya. Mwisho utasema sasa ni halali kufanya sadaka za kuteketeza leo kisa zamani zilifanywa
Haya basi tafuta kitabu chako mwenyewe ili ukitumie nasio kutumia biblia ambayo ni mali ya kanisa katoliki
Ungejibu kwa nini Allah alituma majini yakatengeneza masanamu na yakaweka msikitini na kutengeneza pia mabeseni ya kutawaziaUnaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.
Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
Ukitakwa iandikwe wapi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Wapi imeandikwa hivyo
Hujui kwamba Biblia ni kazi ya mikono ya wakatoliki?.π³π³π³π³π³π³Wapi imeandikwa hivyo
Sasa wakatoliki si ndio hua wanajitapa kua wao ndio dini ya kwanza kuanzishwa na Mungu ππ,huku wakiwakejeli wenzao eti vidini vya juzijuzi..Habari za wakati huu wapendwa
Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.
Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.
Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.
Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.
Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.
Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.
Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.
Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.
Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.
Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.