Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Ukristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Sitetei ukatoliki ila 99% ya ishu za kikristo ziliwekwa na wakatoliki nao walizitoa kwenye tamaduni za jamii za kale. Kwahiyo kwa ujumla ukristo ni mali ya wakatoliki labda niconclude hivyo
 
Hujawahi jibu kwa nini unabusu na kusujudu kuelekea jiwe, embu jibu
Nimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.

Na hadithi ya swahaba Umar bin Khatwab nilikuwekea.
 
Unaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.

Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
Suleiman Alie tajwa na Allah alikuwa muislamu au dini gani?

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu.

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Watu walikuwa wanaenda kwenye synagogue alizojenga Suleiman walikuwa dini gani?

Kisai njoo ujibu acha kujifanya hujaona maswali
 
Ukristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Nenda trace history ya kanisa lako, usipokutana na catholic basics ujue siyo ukristo.
 
Nimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.

Na hadithi ya swahaba Umar bin Khatwab nilikuwekea.
Umar alipingana na Muhammad , Umar alilidharau jiwe , kwa hiyo unataka tumfuate Umar na tumpinge muhammad,

Ni vizuri ukajibu kwa nini unabusu jiwe nipo nasubiria majibu
 
Hapa ndipo mleta mada atakapopata majibu huwa mnajiona wamiliki wa madhehebu yote. Poleni sana
Nenda trace history ya kanisa lako, usipokutana na catholic basics ujue siyo ukristo.
 
Tatizo mnahisi tu au mnaaminishwa bila kujua ukweli. Ili kuelewa kuabudu sanamu ni nini ni lazima uelewe maana ya kuabudu kwanza kama hujui hilo basi usianze kupayuka payuka kuwa wakatoliki wanaabudu sanamu.

Kuwepo kwa picha, na sanamu kwenye kanisa hakumaanishi wakatoliki wanaabudu hivo vitu. (Tafuta kujua maana ya neno/tendo la kuabudu litakusaidia kwenye kumwelewa Mungu)
 
Unafurahisha Sana[emoji23], tarehe 14/2 ni sikukuu ya mtakatifu Valentino au St. Valentine .....we mwenyewe si unaona dini zote zinasherehekea hiyo siku
 
Mkuu kama unakubali hizo ibada za kale basi chinjeni kabisa kondoo kanisani mteketeze kwa moto. Ndivyo ibada za kale waliruhusiwa
Hakuna andiko lolote katika agano Jipya linalosema pakiwepo na Sanamu Kanisa I ni ibada ya Sanamu.
Mungu Hana shida na Sanamu wala haziogopi.
 
Hio siku hakuna dini inayosherehekea kwa misa kanisani kama Pasaka, Christmas,Mwaka mpya

. Hio ni siku ambayo guest houses,hotel na sehemu za starehe zinajaa kwa wapendanao,wazinzi wa kila aina
Unafurahisha Sana[emoji23], tarehe 14/2 ni sikukuu ya mtakatifu Valentino au St. Valentine .....we mwenyewe si unaona dini zote zinasherehekea hiyo siku
 

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana, kwa sababu boss wao anaishi vatican na kanisa ni mali ya vatican.​

 
Nimeshajibu zaidi ya mara moja. Rejea utaona majibu.

Na hadithi ya swahaba Umar bin Khatwab nilikuwekea.
Umar sawa yupo juu Sana

Maana Kuna Verse kadhaa za Koran katunga yeye , ila hili la jiwe tunataka kutoka kwa muhammad kwa nini mnabusu jiwe ,

Umar swala la jiwe alipinga Sana na kutofautiana na Muhammad
 
Ibada ya Sanamu ni Kuabudi kitu chochote na kukipa nafasi ya Mungu.
Au Kwa lugha nyepesi ni kutokutii maagizo ya Mungu na kujifanyia mambo yakupendezayo wewe mwenyewe.

Anayefikiri uwepo wa Picha Kanisani ndio ibada ya Sanamu Bado ana safari ndefu sana kumjua Mungu.

Wakolosai 3:5.
Basi, ueni chochote kilicho ndani yenu ambacho ni cha kidunia:
Uasherati,
uchafu,
shauku,
tamaa mbaya na
uchu

ambao ni kuabudu sanamu.

Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wote.
 
Ukristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Haya basi tafuta kitabu chako mwenyewe ili ukitumie nasio kutumia biblia ambayo ni mali ya kanisa katoliki
 
Nakubaliana na wewe lakini tulikatazwa kuabudu sanamu kwa Musa katika amri kumi. Halafu kumbuka sisi ni wa agano jipya. Mwisho utasema sasa ni halali kufanya sadaka za kuteketeza leo kisa zamani zilifanywa
Kumbe unajua kuwa tulikatazwa kuabudu sanamu.

Pia kanisa katoliki haliabudu sanamu au wewe umeona wapi linaabudu sanamu
 
😳😳😳😳😳😳Wapi imeandikwa hivyo
Haya basi tafuta kitabu chako mwenyewe ili ukitumie nasio kutumia biblia ambayo ni mali ya kanisa katoliki
 
Unaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.

Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
Ungejibu kwa nini Allah alituma majini yakatengeneza masanamu na yakaweka msikitini na kutengeneza pia mabeseni ya kutawazia

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Na ujibu pia lini Allah alisema yasiwekwe tena na kwa nini?
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Wapi imeandikwa hivyo
Ukitakwa iandikwe wapi
Ni kina nani walifanya kazi ya kuchagua baadhi ya vitabu ambavyo waliviweka humo kwenye biblia ambavyo wewe leo unatumia
 
😳😳😳😳😳😳Wapi imeandikwa hivyo
Hujui kwamba Biblia ni kazi ya mikono ya wakatoliki?.
Una uhakika Gani kwamba Waraka wa Paulo Kwa Timotheo uliandikwa kweli na Paulo?
 
Sasa wakatoliki si ndio hua wanajitapa kua wao ndio dini ya kwanza kuanzishwa na Mungu πŸ˜‚πŸ˜‚,huku wakiwakejeli wenzao eti vidini vya juzijuzi..

Acha na wao wapigwe mambo tu kudaadeki zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…