Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaNi kweli mnavumilia mengi, hata kuambiwa bikra maria mumsalie sanamu lake nao ni uvumilivu,
Comment ya kijinga sana hii unaweza kuthibitisha humu unabenefit nini na assets za kiroma?Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.
Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?
Kanisa la Roma limewekeza kwenye
elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.
Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.
Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank.
Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.
Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Ahsante sana mkuuImani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.
Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.
Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.
Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19
17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
We umeona wp neno "ajabu"hapo!?
Kumbe ulidhani???Una upeo dhaifu wa kuelewa mambo. Kwako Taasisi kuwepo muda mrefu ndio ithibati ya imani yake?
Comment yako(counter argument) yenyw akili ili kuthibitisha kuwa comment yake ni ya kijinga ipo wapi??Comment ya kijinga sana hii unaweza kuthibitisha humu unabenefit nini na assets za kiroma?
Hiyo siyo kwa wakatoliki tuu, Dini zote zilizokuja na majahazi au meli au ndege sio dini za mwafrika ikiwemo uislamuHalafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu.Mmakonde,Mmachinga,Mmsai,Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
😂😂😂😁 dahImani sahihi ni ipi? Au ni hizi za makanisa ya mabati?
Si Bikira Maria tu ss tuna Mt Yoseph ndy msimamazi wa Jimbo letu [emoji120]Ni kweli mnavumilia mengi, hata kuambiwa bikra maria mumsalie sanamu lake nao ni uvumilivu,
Ulienda kufanya nini kwenye masanamuImani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.
Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.
Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.
Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19
17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Dini Ni kama matawi lakini Mungu ndio shina Sifa Zake Za Fanana Labda Tofauti Majina.... Wengine
wanamwita Allah, Maulana, Jehovah, God. etc
Tunge ujuaje ukristo kama Mzungu asingekuja kutawala au tunge ujuaje uislamu kama muarabu asingekuja kufanya biashara.
Mungu anatuzimia // ndio maana //tunamfagilia // na hata ridhiki yeyote anampatia //
Unadharau makanisa ya mabati, hujui ibada unaweza fanya hata chini ya mti. Nani alikudanganya Mungu anapatikana kwenye makanisa ya maghorofa tu.Imani sahihi ni ipi? Au ni hizi za makanisa ya mabati?
Tuambie Mungu wa huko kwenu ananukiajebinafsi huwa nashangaa sana nikihudhuria misiba, padre au askofu akiwa pale mbele akianza kuhubiri, hakuna hata tone la nguvu za Mungu, hata harufu tu ya uwepo wa Mungu haipo, mahubiri makavuuuu yasiyookoa. kusali dini inahitaji uvumilivu sana na ni kifungo kikubwa mno.
Siyadharau. Mungu anakuumba na akili timamu kabisa. Unaweza kujenga nyumba ya kuishi, unaweka fence, na kufuga mpaka mbwa kukulinda, lakini ibada unaona ukaifanye kwenye kanisa la mabati machakavu?Unadharau makanisa ya mabati, hujui ibada unaweza fanya hata chini ya mti. Nani alikudanganya Mungu anapatikana kwenye makanisa ya maghorofa tu.