Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Nimekuwekea sababu za kuabudu jiwe umepinga zote

Sasa unatakiwa ujibu kwa nini unabusu jiwe? Stone
 
Nimekuwekea sababu za kuabudu jiwe umepinga zote

Sasa unatakiwa ujibu kwa nini unabusu jiwe? Stone
Umeweza kufanya ufafanuzi wa aya zote na hadith zote na kung'ang'ania maandiko yanamaanisha hivi.
Umeuliza maswali ukiwa na majibu yako mfukoni. Mi ninachotaka ufafanuzi wa hii aya Paulo alimaanisha nini? Kama ni uongo naiacha bila kukung'ang'aniza.
Nimekupa uwanja mpana ueleze unavyotaka wewe. Ukishindwa na hapa utanishangaza sana.


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Nilishakujibu , nenda kasome kuna uzi nilikujibu , Ila unagangana ujibiwe kila siku

Issue tulikuwa tunajadili humu mkitoa tuhuma kwamba wakristo wanaabudu sanamu, na mmeshindwa kuweka aya ata moja inayothibitisha madai yenu

Mimi nimeweka mpaka Koran verse kwamba Allah alitengeneza masanamu, Nimeweka mpaka ushahidi wa wa hadith za kutosha zikielezea Jiwe la maka kwa nini mnalibusu
huwa nawajua mkizidiwa mada mnatoaka nje ya mada kabisa ndio maana umeona siji kwenye mchezo wenu wa kupindisha mada

Tujadili kwa nini mnaibada ya sanamu jiwe
 
Muslim gave terribly confusing answers why they kiss the black stone. Kissing the black stone or the Kabah was a religious ritual of pagan Arabs before the advent of Islam. But this continues to be done by Muslims for unknown reasons.

Hakuna muislamu sababu za kubusu jiwe wote ni kurukaruka na janja janja ukiuliza kuhusu jiwe
 
Mbona unagoma kujibu. Unashindwa nini kuleta jibu? We unasema majibu yetu janja janja. Embu lete jibu lako. Ushawahi mdahalo kuna kupinga au kuleta jibu. Mi nasubiri jibu lako la janja janja. Uzuri sijakulazimisha jinsi ya kujibu

1 Wakorintho
25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Embu tolea ufafanuzi nionekane sina hoja. Mada hapa ni kuhusu kanisa katoliki. We mwenyewe umetoka nje ya mada. Ni vizuri ukitupa ufafanuzi maana maswali yako uliyouliza yana majibu mfukoni. Mi la kwangu halina majibu mfukoni

1 Wakorintho
25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Kasome

Alafu turudi kwenye lile la kuabudu jiwe

Mpaka sasa hujajibu kwa nini unabusu jiwe na misikiti yote mmeelekzea jiwe , mnasujudu kuelekea jiwe kwa nini?
 
Bikra Maria ni mama wa Mungu (Yesu Kristu) na ni mama wa wafuasi wapendwa wa Yesu Kristu (Yohane 19:26).
 
Mkatoliki kaa nae karibu ndipo utafahamu anakuchukuliaje usie mkatoliki. Wana ka ubaguzi ka kujificha sawa na walokole tu
Siyo kweli. Mkatoliki hata akitaka kuchinja kuku ya mlo wa nyumbani kwake atamuita jirani yake muislam aje amchinjie. mtu wa hivyo hawezi kuwa mbaguzi.
 
Ukweli mtupu.

Madhehebu mengi yanahubiri sadaka, mali na utajiri tu.
Hakuna hata moja linalohubiri ufalme wa Mungu
 
Hapo haujajibu swali zaidi ya kuweka commentaries za watu ambazo zipo nje ya mada. Ninakupa mfano nilicho screenshot ambacho hakipo kwenye vitabu. Umecopy link na mashudu yote? Paulo kaita kabisa upumbavu wa Mungu na hajasema kitu watu wanaona upumbavu. Hata mwenyewe masikini sijui kama umeelewa.

 
Ninapo jibu waislamu naweka maelezo Yao wenyewe sio yangu

Na wewe unapotaka majibu soma commentary za wakristo wenyewe usilete ujuaji wako

Nomeshajibu sasa jibu swali rahisi kabisa kwa kutumia maandiko Yako

Kwa nini unabusu jiwe?
 
Ujifunze elimu ya hadith
 
Ninapo jibu waislamu naweka maelezo Yao wenyewe sio yangu

Na wewe unapotaka majibu soma commentary za wakristo wenyewe usilete ujuaji wako

Nomeshajibu sasa jibu swali rahisi kabisa kwa kutumia maandiko Yako

Kwa nini unabusu jiwe?
Nimeshakuwekea link ya video description
 
😳😳😳😳😳Acha uongo. Mgogoro wa haki ya kuchinja ulianzishwa na wakatoliki,kila mmoja akidai haki ya kuchinja. Tena ni juzi juzi hapa hadi serikali ikaingilia kati
Siyo kweli. Mkatoliki hata akitaka kuchinja kuku ya mlo wa nyumbani kwake atamuita jirani yake muislam aje amchinjie. mtu wa hivyo hawezi kuwa mbaguzi.
 
Hadith mmeweka grade wenyewe , haiwezekani

Mimi nasoma grade naweka humu tena natoa kwenye authentic source
Nimekuambia ujifunze. Hadith zote zinakusanywa. Usibebe kichwa kichwa kila unayoiona ukadhani sahihi.
Angalia hiyo debate David Wood, Sam na Anton wakiwa peke yao wanadanganya watu. Walivyochemka debate na mtu mmoja Kwa kuvamia fani sio yao.

 
Nimekuambia ujifunze. Hadith zote zinakusanywa. Usibebe kichwa kichwa kila unayoiona ukadhani sahihi.
Angalia hiyo debate David Wood, Sam na Anton wakiwa peke yao wanadanganya watu. Walivyochemka debate na mtu mmoja Kwa kuvamia fani sio yao.

Huyu uthaman juzi juzi alisema Muhammad sio abrahamic , Muhammad alikuwa mpagani,
Huyo jamaa ni muongo sana

Akadanganya jibril alimsalimia muhammad walivyo onana kwa mara ya kwanza , wakati inajulikana wazi alimkaba bila salamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…