Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Kwa kweli Kuna Raha.
Eti msabato na Mlokole wanaijua Biblia kuliko waliowaletea.

Maajabu hayajawahi kuisha duniani.
 
Nenda kamsome ni moja ya mashehe wakubwa Sana kwa sasa , Kuna zakirinaiki na uthaman
Muangalie kidogo hapa , ila najua kingereza kwako ni shida jitaidi tafuta mtu akufanyie translation

Kuna vitu kabla hujaviandika fanya utafiti. Zakiri Naik na Huyo uliye mtaja si wasomi katika wasomi wa Dini ya Kiislamu.

Namfahamu kiasi ila kwa jinsi navyo mfahamu hawezi kusema hicho ulichokidai wewe.
 
Yaani kutokufundishwa Bible kumewafanya waroma mmekuwa wahanga wakubwa wa maandiko matakatifu Mungu awasaidie yaani unaandika matakataka yote hayo kutetea misanamu??
 
Kuna vitu kabla hujaviandika fanya utafiti. Zakiri Naik na Huyo uliye mtaja si wasomi katika wasomi wa Dini ya Kiislamu.

Namfahamu kiasi ila kwa jinsi navyo mfahamu hawezi kusema hicho ulichokidai wewe.
Ndio maana nimekuwekea link YouTube
Ila nimekwambia kwa sababu hujui kingereza tafuta mtu akuelezee , na asiwe muongo
 
Yaani kutokufundishwa Bible kumewafanya waroma mmekuwa wahanga wakubwa wa maandiko matakatifu Mungu awasaidie yaani unaandika matakataka yote hayo kutetea misanamu??
Acha ujinga bila wakatoliki hakuna ukristo

Jibu wewe ungetokea wapi bila katoliki?

Ndio maana nimeweka ukristo ni kuamini Yesu ni Mungu na kuamini utatu mbali na hapo hakuna ukristo

Kuna vitabu watu hawakukubali ila msingi umebaki pale pale Yesu ni Mungu na kuna utatu

Wakristo vitabu vyake vipo ila kwa waislamu walivichoma moto na wakaweka wanavyo kubaliana

Alie fanya kazi ya kuchoma Koran anaitwa Othman, mpaka leo haijukani Koran ipi alichoma
 
Nadhani nimeshakujibu. Hata shetani ameumbwa na Mungu, makafiri wameumbwa na Mungu na vinginevyo. Wote hawana maana.
 


Uthaman kachomoa betri, Kuna msemo unasema , ukesema ukweli hautaji kuwa na kumbukumbu

Ila ukiwa unaongea uongo kumbukumbu inatakiwa iwe juu Sana ndio kilichomkumba uthaman
Sasa haujaelewa nini? Mfano wewe umezaliwa kwenye familia ya kikafiri. Ukawa haufati ibada zao bali unaona. Unajua kamba Ibrahim alikuwa kwenye jamii ya makafiri kabla ya hapo lakini hashirikiani kuabudu masanamu? Usiwe unaropoka.
 
Kwa kweli Kuna Raha.
Eti msabato na Mlokole wanaijua Biblia kuliko waliowaletea.

Maajabu hayajawahi kuisha duniani.
Sijawahi kumuona mu R.C akienda kanisani na note book na kalamu kutake note ya doctrine kama wapo ni wachache saana. Wengi huenda kanisani wakilenga kukomunika tuu, average R.C member wanaijua bible kidoogo saana. Kupata ma sakramenti kama ubatizo, komunyo na kipaimara sharti ufunzwe sala uzielewe kama kanuni ya imani na Q&A za katekisim yetu. Mpaka napata hizo sakramenti sikuwahi kufunuliwa bible ktk mafundisho. Leo hii ukimchukua mtoto wa Sunday school wa Kiprotestant na jamaa mwenye level ya kufuata mafundisho ya ndoa uwaweke ktk bible literacy utashangaa mtoto wa Sunday school alivyomeza vifungu vya bible na kufanya uchambuzi wakti mwenzangu na mimi mtu mzima Mrumi umuambie tu afungue kitabu cha Yuda ktk bible nakuambia atakitafuta toka saa mbili hadi saa tano. Sisemi haya kwa ubaya bali ni kwa namna nilivyo experience. Nafikiri falsafa za Ki R.C na kiprotestanti zinatofautiana kiasi mfano R.C ibada zake ziko ktk ratiba kabisaa inatoka misa ya neno inakuja misa ya sadaka n.k ilhali huku kwenye uprotestanti misa anaongoza Roho mtakatifu..Pastor anaweza panda altareni na somo aliloandaa jana lakini akaambiwa na Roho mt hakuna kufundisha ulichoandaa jana ila utafundisha nitakachokupa muda huu huu. Naiheshimu R.C kwa maana lilikua ni daraja katika kumjua Kristo.
 
tunasikia mnasoma miaka 7. lakini bado hamumjui Mungu, na mnakataa wokovu na nguvu za Mungu. ndio kitu cha kushangaza. hautakuja kulijua hili hadi utakapokubali kuokoka na kubadilika, utajilaumu kwanini ulipoteza muda.
 
Wanaona aibu kuita na kuandika Roman siku hizi
Cijajua hasa lini ilikua inaitwa Roman instead of Catholic as far as I know the ancient apostolic Creed named it as Catholic and not otherwise
 
Samahani apa umeongelea uwezo wa kusoma maandiko na kuyakariri Kisha kunukuu Kama vitabu vya kina kiyosaki au unaongelea uwezo wa kuinterpreti kile kilichokusudiwa kuandikwa .Kama unaongelea kuhusu kukariri naungana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…