olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 505
- 379
Heee,Yesu alikuwepo kabla ya mama yake?
Nitaendelea kuwa na Kanisa Takatifu la Roma kwa comment za aina hii.
Sio mwaka Jana TU,tufanye Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume halina uwezo wa kufufua wafu kama alivyoagiza Yesu,sio kwa mwaka jana tu, katika historia yote, katoliki alishawahi kutokea mtu akafanya hivyo? hahaha, the vise versa may not be true. cha muhimu ni kuwepo na imani ya aina hiyo kwenye misingi ya dini. na kwa walokole, watu wengi tu wameponywa na wamefufuliwa.
Itatufaa nini tukiwa na fahari ya dunia hii (mfano elimu na utajiri) halafu tuukose uzima wa milele. Uliyoyataja hayo ya dunia hii ni sawa tukiwa nayo lakini bado haitoshi maana Mungu anashida haswa na roho zetu kupona. Au waonaje mkuuUpo sahihi mkuu kuna uwezekano mimi ni mjinga.
Mkuu mimi nimezaliwa na wazazi wanaoabudu kanisa la Roma kwa hiyo kama ni kutumia assets za kiroma basi ndo zimenikuza na kunifikisha hapa nilipo.
Nimezaliwa katika hospital ya Huruma inamilikiwa na shirika la Roman Catholic la ma sister wa st Joseph Rombo.
Nimesoma shule ya st Ritaliza primary school Kilimanjaro.
Secondary nikasoma st Amedeus Kilema Kilimanjaro mpaka advance.
Chuo kikuu nikasoma The Catholic University of Health and Allied Sciences - Bugando (CUHAS-BUGANDO)
Kituo changu cha kazi ni Consolata Hospital Ikonda-Makete.
Mke wangu na yeye alilelewa kituo cha watoto yatima St.Francis Boma Hai.
Kanisa la Roma ni zaidi ya kusali. Ni sehemu ya maisha ya waumini wake.
Kanisa la Roma halina ule utaratibu wa maombi na kununua mafuta.ila ukiumwa utaelekezwa hospital. Na kanisa hili lina hospital za kisasa nchi nzima. Ni kanisa linalosimamia misingi ya sayansi kuliko unavyoweza kufikiria.
Kanisa la Roma pia linaamini sana katika elimu. Kanisa hili limeweza ku survive miaka yote hii kwa sababu ya kuwekeza katika elimu. Ndo maana inavyuo mbalimbali nchi nzima
SAUT, ST.JOHN DODOMA ETC.
Kanisa hili pia halipo nyuma katika financial institutions lina MKOMBOZI BANK.
Kanisa Catholic halikusimamii wewe kwenda mbinguni tu ila linahitaji pia kuhakikisha unapata mahitaji yako muhimu kwa ubora kabisa.
View attachment 2148261
Hebu tupatie namba ya mtu ambaye hapo kanisani kwenu mlifufua...tuongee naye jambo fulani.sio kwa mwaka jana tu, katika historia yote, katoliki alishawahi kutokea mtu akafanya hivyo? hahaha, the vise versa may not be true. cha muhimu ni kuwepo na imani ya aina hiyo kwenye misingi ya dini. na kwa walokole, watu wengi tu wameponywa na wamefufuliwa.
Lakini vyote hivyo vyote bado vichwani mwao kumejaa makamasi ya kuamini sanamu la bikira maria linaweza kutatua shida zao,kweli maajabu haya.Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.
Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?
Kanisa la Roma limewekeza kwenye
elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.
Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.
Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank.
Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.
Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Mkuu, lango ni moja tuu. Ni Yesu tuu mkuu. Kuomba kwa majina mengine ya wanadamu wenzetu akina Yosefu na Maria sijui na mtakatifu nani mkuu unakua hauna tofauti na wale wanaoomba kwa jina la mfalme Zumaridi. Au una mtazamo gani katika hilo mkuuVyote
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
Ambacho huelewi ni kwamba Yesu ni Mungu.Bikira Maria alimzaa Mungu.kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
kwahiyo wanaombea kwa jina la bikira maria na mtu anapona, mtakatifu yosefu mtu anapona, ndio wanakuja kuchanganya na Jina la Yesu sasa wakiamua. kweli kipofu huwa hajioni.
Kwa taaluma ya maandiko kabla ya Yesu kukata roho alimwambia Yohana kwamba "Tazama huyu ni mama yako" na kwa Bikira Maria akamwambia "Tazama huyu ni mwanao". Hili neno unajua maana yake?kwahiyo kama maria amebarikiwa, mimi naanzaje kuomba kupitia yeye wakati Yesu Kristo aliyenifia msalabani aliagiza tuombe sio kwa jina lingine ila kwa Jina la Yesu tu. kwani maria ana nguvu gani kunisaidia? alimwaga damu na yeye ili awe tofauti na mimi?
Ukisoma tena mada ya mtoa mada utaelewa akili ndogo ni ipiAkili ndgo ni ipi?
alikuwa anamwelekeza yohana amtunze/amlee. hata kiswahili cha kawaida kabisa hapo kinaeleweka. maria alikuja kufa, hakufufuka hadi leo. Yesu hakuwa anaelekeza tusali kupitia maria, hakumaanisha maria awe mbadala wake.Kwa taaluma ya maandiko kabla ya Yesu kukata roho alimwambia Yohana kwamba "Tazama huyu ni mama yako" na kwa Bikira Maria akamwambia "Tazama huyu ni mwanao". Hili neno unajua maana yake?
Kama dhehebu lako linakuambia elimu ni changamoto hiyo.Itatufaa nini tukiwa na fahari ya dunia hii (mfano elimu na utajiri) halafu tuukose uzima wa milele. Uliyoyataja hayo ya dunia hii ni sawa tukiwa nayo lakini bado haitoshi maana Mungu anashida haswa na roho zetu kupona. Au waonaje mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mna tofauti gani na waumini wanaoomba kwa jina la mfalme zumalidi. Maana wote mmewekeza ibada zenu kwa binadamu kama ninyi. Maria ni mtu, Petro ni mtu, Yohana ni mtu. Fungua macho brazaNdugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
mbuzi katoliki nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana wakatoliki wanawapuuza.kwahiyo wanaombea kwa jina la bikira maria na mtu anapona, mtakatifu yosefu mtu anapona, ndio wanakuja kuchanganya na Jina la Yesu sasa wakiamua. kweli kipofu huwa hajioni.
Yesu alipitia tuu kwa Maria ili akae nasi duniani. Yesu alikuwako tangu dahari. Unavoongea Bikira Maria alimzaa Mungu ni utadhani Bikira Maria ndo alimuumba Mungu. Bikira Maria aliipata tuu ile neema ya Yesu kupitia kwake ili aje aishi kwetu lakini Maria hana lingine la ziada kando na hilo la kumzaa Yesu katika kutufikisha Mbinguni. Ni Yesu tuu pekee mwenye kutufikisha Mbinguni maana yeye ni mpatanishi. Wake up brotherAmbacho huelewi ni kwamba Yesu ni Mungu.Bikira Maria alimzaa Mungu.
Ukielewa hapo walau utakuwa umepiga hatua kubwa kiufahamu.