Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Waseme nini hao RC na ukweli uko wazi??? Yesu Mzungu Kamwe haji ng'ooo!! mtasubiri sana!! Waafrica wa leo wamejanjaruka hee!! acha kabisa!!...tena wamesomaaaa!! kuliko wazungu!! yaani akili sasa hivi tunazo tuna wahesabia tu!!
Islam, RC Vatican yooote ile!!, Anglicans nk!! hao baba ndo walishadadia biashara ya utumwa!! na weusi hawakuruhusiwa kusali sababu watajijua kuwa wao ndo kabila teule la Mungu, tena mkauzwa hasa! sababu ya kumuudhi Mungu!
hayoo hayo!! wenye rangi na sura ya yesu!! ndo wabaguzi hatare, watengeneza dhana za kuulia watu na wakoloni wabaya!! watibuaji wa amani Duniani!! km leo Ukrain!! kifupi wanajua kuwa sisi weusi sasa hivi tunajua uongo wao!..ili wao wale!!
hao hao ndo wakoloni Mambo leo!! ni aibu sana tena ya kudhalilika mnoo!! Mwafrica mweusi kuabudu kanisa la wakoloni!! wabaguzi mpaka leo! yaa sasa hivi ukienda vatican hawakuchangamkii!! wanaona ni Jibwa Jeusi tu!! lina anika umaskini! Lipo hapa ajili ya shida tu!
Kule Vatican Makasisi, Mapadre, Ma-sisister weusi wana kazi sana kwa ku dharauliwa kule!! km una damu ya kichifu bin kimapinduzi kamwe huwezi kanyaga Vatican au kufanya ile kazi!.....na ndo maana wengi wanaofanya zile kazi ni wale wenye damu za kimaskini sana!
tena na elimu nusu sana ya kukaririshwa na wao!! km padre karugendo na marehehmu Rugambwa!! Nyerere mtoto wa chief alikataa katakata!! lkn alikufa akimalizia research yake kwao!!
Babu zetu wa kale! na baba zetu hatu walaumu kiviile sababu wao hawakujua kuhusu hili!! lkn kijana/Mtu mzima wa kuanzia miaka 70 kuja huku nikikukuta kanisani tena RC ntacheka mpaka nijambe kifukuto!!...Km umesoma nakuua maksudi!!
Wasomi huru gerezani hawaendi kanisani km Sarungi ni Msabato yule Mzee!!lkn ukimwambia hizo habari hakuelewi!! zamani za ujima nilidhani wana kiburi tu! kuuumbe mie ndo nilikuwa huru gerezani!!
Mtu mweusi kwenda kusali kanisa la RC ni udhalili wa hali ya juuu sana!! tena uliopitiliza kabisaaa! Baadhi ya weusi wa kule USAwakikuona unaenda huko sali?? hee! wana kuchinja live! ukienda kusali huko!!
eti nao hao wazungu wenyeji wa Vatican wanawachukia wayahudi Wazungu!! kisa ni etiiii!!.... walimuua na kumkana Yesu wa Nazareth basi nachekaaaga mpaka nayamba kifukuto karibia kupasuka!...ni udhalili mweusi kuabudu mzungu hadi leo!!
wao walipiga mahesbau kuwa!! Mweusi atajanjaruka baada ya miaka mitano tu ya uhuru yaani 1970 huko!!....ili wabadirishe mipago yao ya ukimadehehebu, ili bbadae huko yawe ni Mashirika ya Misaada!! Mweee!! lkn wapi ndo kwaaanza wanabatizwa! mpaka leo!
Niseme tu yesu mzungu haji ng'ooo mtasubiri sana!! ....kuuumbe wenzenu yYesu wao kapita hivi kawabeba!