ualimu wito
Member
- Nov 11, 2013
- 20
- 45
Wingi wa Mpunga ni hela yako tu ila kipindi kizuri ni pale wakulima wakiwa wanavuna. Kwa sasa kipindi cha mavuno kwa Ifakara kimeelekea mwishoni maana wakulima wengi walishapiga mpunga upo ndani, hivyo upatikanaji wake si kwa wingi sana kama ilivyokuwa kuanzia June-August.Kwahiyo huko uliko mpunga unapatikana kwa wingi kwasasahivi?
Hii pesa ya ushuru wa gunia mbona ni kubwa hivyo..?View attachment 2733799View attachment 2733800
Morogoro mbingu hiyo super yenyewe haina chenga,chuya,wala biriani kwa elfu 2000 tu bei ya shamba/ya mkulima ushuru kwa gunia ni 3000 ghalama ya usafiri 10k mpaka dar.
Hizi pesa wanazochukua zinatumia vipi katika kuboresha chochote kile kwenye mzunguko wa hiyo biashara? Yaani gunia 10 ushuru Tsh 50,000? Hela ambayo mfanyabiashara mwenyewe anaihitaji sana tu.Kwa sasa kuna mgomo wa wanunuzi juu ya ushuru kuwa hii serikali sijui tunaelekea wapi kutoka kwenye 2000 kwa gunia mpaka 4500 inaelekea 5000 saivi
Hapo umesahau pesa ya kushushia gunia, maana kama kupandisha tu ni Tsh500 unadhani litashishwa bure..?Wewe ni mwenyeji wa Ifakara au upo Dar?
Kwa mzigo huo gari uhakika. Gharama kwa gunia la kilo mia ni 12000.
Usafiri 9000
Ushuru 2500
Kupakia 500
Mtaji ni kiasi gani ili uweze kuagiza?Mtaji hautoshi kwenda kukusanya mzigo huko
Tani tano inagharim mtaji kiasi gani tukiacha suala la usafiriKuagiza unaweza kiagiza kias chochote nasema kwenda kuchukua mzigo pia uwe na uhakika wa usafiri
Morogoro jamani.Hiyo mbingu ipo mkoa gan
Hii pesa ya ushuru wa gunia mbona ni kubwa hivyo..?
UnApatikana kwa wingi mchele hapo mbingu?Mchele wa huku mbingu hauna rangi sana ila ni mtamu hauna mfano kiupi ardhi ya kule ni nzuri