Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imezoeleka wasanii wengi kutokea familia zenye uwezo mdogo kiuchumi lakini pia wapo ambao kwao kwao pesa angalau ilikuwepo.
Vanessa Mdee
baba yake alikuwa kwnye ubalozi Marekani, karudi Tanzania akiwa na miaka 12
anatema yai sio mchezo (aliwahi kuwa mtangazaji Mtv), pia kifaransa anaichapa vizuri tu.
Kukulia kwenye mazingira ya kidini kulimfanya kuwa msanii alejitahidi angalau kwenye nidhamu .
View attachment 2048126
QJ
aliwahi ku hit kwa nyimbo kama sifai na tell me why,
alisomeshwa feza boys, ada yake ni kama milioni 6
View attachment 2048119
Jux
shule aliyosoma sio za serikali ni private, na chuo kasomea nje ya nchi...
pesa ya studio + video ya wimbo wake wa kumtambulisha kweye game alilipiwa na mzazi wake,
View attachment 2048108
Kwa hiyo jux hajasoma nje ya nchi ?MANENO YA VIJIWENI HAYA HEBU NITAJIE MALI WANAZOMILIKI FAMILIA YA KINA JUX
Banana zolo ndo mtoto wa bambucha?Banana Zolo
Pamoja na kujikita kwenye muziki ila wapo vzuri kiuchumi muziki umekuwa kama sehemu ya kujiburudisha na famiia nzima wanaimba yaani wanatalent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa mchunga ng'ombe songea huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Banana zolo ndo mtoto wa bambucha?
Christina MroniImezoeleka wasanii wengi kutokea familia zenye uwezo mdogo kiuchumi lakini pia wapo ambao kwao kwao pesa angalau ilikuwepo.
Vanessa Mdee
baba yake alikuwa kwnye ubalozi Marekani, karudi Tanzania akiwa na miaka 12
anatema yai sio mchezo (aliwahi kuwa mtangazaji Mtv), pia kifaransa anaichapa vizuri tu.
Kukulia kwenye mazingira ya kidini kulimfanya kuwa msanii alejitahidi angalau kwenye nidhamu .
View attachment 2048126
QJ
aliwahi ku hit kwa nyimbo kama sifai na tell me why,
alisomeshwa feza boys, ada yake ni kama milioni 6
View attachment 2048119
Jux
shule aliyosoma sio za serikali ni private, na chuo kasomea nje ya nchi...
pesa ya studio + video ya wimbo wake wa kumtambulisha kweye game alilipiwa na mzazi wake,
View attachment 2048108
Jicho lake la tatu lipi mkuu lile la kiroho au kishetwani linalokonyeza mda woteUnamsifia huyo Juma hadi napata mashaka na uwezo wako katika kutunza jicho lako la 3.
Banana Hana ushua wowote nimecheza nae kimakuzimakuz, baba yake mwenye ye alikuwa anaishi nyumba ya urithi mtoni sabasabaBanana Zolo
Pamoja na kujikita kwenye muziki ila wapo vzuri kiuchumi muziki umekuwa kama sehemu ya kujiburudisha na famiia nzima wanaimba yaani wanatalent
Emmanuel Mkono hatari sana 🙌🏼💷💵Navy Kenzo..... Aika na Nahreel
Sio msanii, ni producer na mmiliki wa studio. Fungua uzi mwingine upewe orodha kamili, unamjua Darsh Pandit?Master J
Banana zolo ndo mtoto wa bambucha?
Davido akipitia huu uzi atabaki hiiiiiiiiii
Ushua ni nini hasa?Kwa GK nakataa mkuu, kukaa upanga nyumba za nhc ndio ushua? Maza ake alikuwa ticha cbe na braza yupo us ndio ushua?