Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Tafsiri ya ushua ina mitazamo tofauti mkuu, kwako afisa ubalozi sio ushua kwa mwingine kupaka blu bendi kwenye mkate ni ushua tosha 😂
Labda tutafute consensus ya maana ya ushua alafu ndio tuendelee na mada
Kwa miaka ya 80, 90 mpaka early 2000 kua na gari nyumbani, tv, geti na friji. Watoto wakaenda shule za private huo ni ushua tosha.
 
MANENO YA VIJIWENI HAYA HEBU NITAJIE MALI WANAZOMILIKI FAMILIA YA KINA JUX
jux kakulia kishuani ni moja kati ya majirani zangu pia nimesoma naye shule moja ipo tabata segerea inaitwa happy skil full internation siku hizi wamebadili jina sijui inaitwaje nilimpita darasa moja.marehem babaake ni mtu wa kwanza pale kimara baruti kuwa na benz enzi hizo.so kakulia kwenye pesa..bmkubwa wake alikuwa anafanya kazi bandarini .namkubuka jux enzi hizo anatembelea rava 4 kill time,kabla hata watu hawamjui kimziki tunamjua kitaa na shuleni kwa vile alikuwa ndio msanii pekee shuleni.mengine siyajui
 
jux kakulia kishuani ni moja kati ya majirani zangu pia nimesoma naye shule moja ipo tabata segerea inaitwa happy skil full internation siku hizi wamebadili jina sijui inaitwaje nilimpita darasa moja.marehem babaake ni mtu wa kwanza pale kimara baruti kuwa na benz enzi hizo.so kakulia kwenye pesa..bmkubwa wake alikuwa anafanya kazi bandarini .namkubuka jux enzi hizo anatembelea rava 4 kill time,kabla hata watu hawamjui kimziki tunamjua kitaa na shuleni kwa vile alikuwa ndio msanii pekee shuleni.mengine siyajui
Internation?? Wazazi wako walipoteza ada bure
 
Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
 
Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
Rudi kulala
 
Back
Top Bottom