khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
Kwa GK nakataa mkuu, kukaa upanga nyumba za nhc ndio ushua? Maza ake alikuwa ticha cbe na braza yupo us ndio ushua?
mother ake alikuwa ni mbunge pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa GK nakataa mkuu, kukaa upanga nyumba za nhc ndio ushua? Maza ake alikuwa ticha cbe na braza yupo us ndio ushua?
Navy Kenzo..... Aika na Nahreel
Na bado huo pia ni mtazamo wako mkuu, kuna wengine kibao tu wanaoona kuwa na hivyo vitu miaka hii ya sasa ni ushua kamili!Kwa miaka ya 80, 90 mpaka early 2000 kua na gari nyumbani, tv, geti na friji. Watoto wakaenda shule za private huo ni ushua tosha.
Huyo nae ambae mpaka mda huu atakua kilaza miaka ya siku hizi tv kila sehemu wakati enzi zile ikifika siku ya mchezo wa luninga mtaa mzima tunahamia sebule ya mtu. 😀😀😀 Tumetoka mbali sanaNa bado huo pia ni mtazamo wako mkuu, kuna wengine kibao tu wanaoona kuwa na hivyo vitu miaka hii ya sasa ni ushua kamili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuambia na vitabu vya kizungu,chumba cha juu ghorofani![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtaa mzima nyumba za umeme mbili tu![emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]maisha haya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
Like jicho linalokaa bondeni!?Unamsifia huyo Juma hadi napata mashaka na uwezo wako katika kutunza jicho lako la 3.
Tv sawa ila kumiliki nyumba, gari na kusomesha mtoto(wa) private school technically ni ushua tosha maana GDP per capita ni $1,080Huyo nae ambae mpaka mda huu atakua kilaza miaka ya siku hizi tv kila sehemu wakati enzi zile ikifika siku ya mchezo wa luninga mtaa mzima tunahamia sebule ya mtu. 😀😀😀 Tumetoka mbali sana
Usimcheke mjibu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kina GK kuna nini hapo upanga?[emoji849][emoji849] Wabongo mmhNimeshangaa namimi yani kukulia marekani tu ndio mshua?
Angesema familia yake ina ushua gani tungemuelewa.
Najua R.i.p Langa na G.k ndio watoto wa kishua
Teh teh uwii mkuu unaijua vizuri hii family[emoji122][emoji122]Kwa GK nakataa mkuu, kukaa upanga nyumba za nhc ndio ushua? Maza ake alikuwa ticha cbe na braza yupo us ndio ushua?
Mmmmh no no...ngoja tu ninyamaze khaaa!Banana Zolo
Pamoja na kujikita kwenye muziki ila wapo vzuri kiuchumi muziki umekuwa kama sehemu ya kujiburudisha na famiia nzima wanaimba yaani wanatalent
Hehehehe angekosekana huyu Navy hapa bila kutajwa ningeshangaa[emoji848][emoji848][emoji38][emoji38]Navy Kenzo..... Aika na Nahreel
Yaan anaweza zimia[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Davido akipitia huu uzi atabaki hiiiiiiiiii
Ajajajajajaja[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji849][emoji849][emoji849]Wema Sepetu na Jackline Mengi
[emoji122][emoji122][emoji122]Hapo hao wote sio marehemu langa ndio kwao wa kishua baba ake ni kitengo wizara ya fedha..na mama ni lecturer ifm...nyumbani ya tatu kutoka nyumba ya kikwete ..amekua na ridhiwani na miraji kikwete...mwingine ni jay moe..
Mama shaa ...babake Doc wa maana!Siku Moja kwenye mkasi Salama alikua anamhoji Langa...Weee pale room kwake enzi hizo humu wengi mpk Leo wengine hawajafika level za kile chumba cha Langa
Mwingine Sarah Kaisi yule wa Kishua kikweli,
Nimrod Mkono sio baba ake mzaziKachoka kiafya au unamaanisha nini? Maana Kama ni mwili uko vilevile ni rasta tu ndo hazikuwepo
Mkuu huyu kijana kakulia Atown njiro home ni jumba la ghorofa, unamjua Nimrod Mkono wewe?