Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Yaani Bongo Baba akifanya kazi ubalozini unakua wa kishua, hata jack bila mmachame yule ni wa kawaida sana,
Sasa Jack na huyo kimeo kwao kuna nini jamani?[emoji848]

Mmojawapo hapo kamficha hadi Maza ake anajifanya kafa, kumbe hawaongei wote daah[emoji848]

Dunia hii
 
Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jf nyokoooz
 
Enzi hizo huwezi kuta mtoto wa kigogo anakuwa msanii au mcheza Mpira hizo zilikuwa kazi za watu wasiojielewa na maskini.

Hata hao mnawaita wavishua walioingia kwenye usanii,wengi malezi yalikuwa hovyo ndio maana wakaenda huko.

Uliwahi kuona wapi hapa duniani mtoto wa kiongozi mkubwa wa Nchi anakuwa msanii au mcheza mpira labda yule mtoto wa George weah.
 
Hivi unajua familia za kishua wewe? Waandishi uchwara wa kibongo bwana hivyo kabisa!
 
some years back anayekumbuka crew ya Diplomatiz nasikia walikuwa watoto fulani wa kishua sana
 
Back
Top Bottom