Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Nahreel ukimwangalia wakati bado yuko kwenye kundi la Pah One alikuwa kachoka sana.Emmanuel Mkono hatari sana 🙌🏼💷💵
Hata serekali inajua huyu msanii kaishi maisha ya kishua!
Sidhani kama alikuwa na ushua wowote