Nahreel ukimwangalia wakati bado yuko kwenye kundi la Pah One alikuwa kachoka sana.Emmanuel Mkono hatari sana 🙌🏼💷💵
Hata serekali inajua huyu msanii kaishi maisha ya kishua!
Ujanjaujanja Hao Wa MjiniMANENO YA VIJIWENI HAYA HEBU NITAJIE MALI WANAZOMILIKI FAMILIA YA KINA JUX
Ps chumban mixer tv 😃😃😃Siku Moja kwenye mkasi Salama alikua anamhoji Langa...Weee pale room kwake enzi hizo humu wengi mpk Leo wengine hawajafika level za kile chumba cha Langa
Mwingine Sarah Kaisi yule wa Kishua kikweli,
Kachoka kiafya au unamaanisha nini? Maana Kama ni mwili uko vilevile ni rasta tu ndo hazikuwepoNahreel ukimwangalia wakati bado yuko kwenye kundi la Pah One alikuwa kachoka sana.
Sidhani kama alikuwa na ushua wowote
Wema Sepetu na Jackline Mengi
Duuh! Ndio mshua wake nini?Kachoka kiafya au unamaanisha nini? Maana Kama ni mwili uko vilevile ni rasta tu ndo hazikuwepo
Mkuu huyu kijana kakulia Atown njiro home ni jumba la ghorofa, unamjua Nimrod Mkono wewe?
QJ uongo namjua A-Z
Ndio mkuu, washua wa kweli hawanaga showoffDuuh! Ndio mshua wake nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo wa kishua kweli,Siku Moja kwenye mkasi Salama alikua anamhoji Langa...Weee pale room kwake enzi hizo humu wengi mpk Leo wengine hawajafika level za kile chumba cha Langa
Mwingine Sarah Kaisi yule wa Kishua kikweli,
Noo mtoto wa Ally Zahili ZolloBanana zolo ndo mtoto wa bambucha?
Nakuambia na vitabu vya kizungu,chumba cha juu ghorofani![emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]Ps chumban mixer tv [emoji2][emoji2][emoji2]
Yaap!Duuh! Ndio mshua wake nini?
Nahreel siyo mtoto wa Mkono.Kachoka kiafya au unamaanisha nini? Maana Kama ni mwili uko vilevile ni rasta tu ndo hazikuwepo
Mkuu huyu kijana kakulia Atown njiro home ni jumba la ghorofa, unamjua Nimrod Mkono wewe?
Unasema kweli. Kuna mfanyakazi alikuja home kwangu kwa ajili ya kushughulikia mifugo.Tafsiri ya ushua ina mitazamo tofauti mkuu, kwako afisa ubalozi sio ushua kwa mwingine kupaka blu bendi kwenye mkate ni ushua tosha [emoji23]
Labda tutafute consensus ya maana ya ushua alafu ndio tuendelee na mada