Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Huyo kwao ubungo external mtoto wa ndgu wa nimrod mkono
 
Kwahiyo baba yake alikua na pesa mitaa yenu kuliko washua wote
 
Vanessa mdee baba yake alikua balozi wa Tanzania huko Marekani na Ufaransa.
Kama kibongobongo balozi wa nchi Kama Marekani au Ufaransa sio ushua basi sawa.
Mkuu, hizi njemba unazobishana nazo zimejaa chuki na wivu, hata angekuwa mtoto wa Bakhresa angekuwa msanii, wangeanza kutaja kina bill gates huko... Mtu yupo kwenye sofa la urithi wa babu hapo kwao kashiba mlenda na ugali anaanza kuandika utumbo 😂
 
Utakuwa umekuja mjini wakati magufuli anaapishwa, huwezi jua Ni kitu gani jamaa anachoongelea,

Unawajua vibosile wa TPA enzi hzo? Au unachukulia poa?

Punguza ujuaji bro! Wakati hujui kitu
 
Wacha wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vanessa mdee baba yake alikua balozi wa Tanzania huko Marekani na Ufaransa.
Kama kibongobongo balozi wa nchi Kama Marekani au Ufaransa sio ushua basi sawa.
Nashangaa na mie hapa lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…