Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hapana nimeku mention angalia notificationUzi huu au? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana nimeku mention angalia notificationUzi huu au? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana mbna sijapata hiyo notification, nambie ktk uzi gan bashapana nimeku mention angalia notification
uzi wa talaka ya prince wa Dubai na mkeweHapana mbna sijapata hiyo notification, nambie ktk uzi gan bas
Uchemacho sahihi kabisaa...sasa mtaa mzima nyumba ya umeme moja wategemea nini!Hehehehe...watanganyika wanatokea kwenye umasikini wa kutupwa, DStv tu eti wa"kishua[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]
Duh!Huyo pichan ni Dullayo!!!!!! Msanii pendwa enz zile...
Leo anapiga mizinga tuu...anywe Double kick ......
Mitaa yake BANANA Huko:View attachment 2055053View attachment 2055054
Mmmmh[emoji849]Vanessa mdee baba yake alikua balozi wa Tanzania huko Marekani na Ufaransa.
Kama kibongobongo balozi wa nchi Kama Marekani au Ufaransa sio ushua basi sawa.
Santee ..Kunywa wine bili niletee
Hata huyo jaymore wanaemuita wa kishua kasoma shule ya kawaida tu irambaKwani kusoma shule ya private ndo kwenu matawi, zamani shule za serikali zilikuwa chache shule mzima wanafaulu watu watatu wakizidi sita, wengine private, mbona watu wengi tulisoma private, kigurunyembe sekondary, forest Hill, kusoma privare ni wakisua, zamani kawaida tu.
Kwa hiyo unaweza kumfananisha na yule aliyelelewa sitimbi kwenye nyumba ya tembe na kusoma shule ya kubeba vidumu na fagio?Nimeshangaa namimi yani kukulia marekani tu ndio mshua?
Angesema familia yake ina ushua gani tungemuelewa.
Najua R.i.p Langa na G.k ndio watoto wa kishua
Kwa enzi zileee....kweli palionekana pa kishuaHehehehe...watanganyika wanatokea kwenye umasikini wa kutupwa, DStv tu eti wa"kishua[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]
Dogo punguza speed na ukae kwa kutulia.Kwa hiyo unaweza kumfananisha na yule aliyelelewa sitimbi kwenye nyumba ya tembe na kusoma shule ya kubeba vidumu na fagio?
Mbona nawe hujasema hao uliowataja wana ushua gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado sijaona, ngoja niende huko nikatazame.uzi wa talaka ya prince wa Dubai na mkewe
Kipi kauliza? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alichouliza
sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado sijaona, ngoja niende huko nikatazame.
mi najua umeona ila unakwepa swali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado sijaona, ngoja niende huko nikatazame.
Basi uliza hapa mie nakujibu, sijawahi kuogopa au kukwepa swali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi najua umeona ila unakwepa swali
kwanini comment zangu zote humu huwa zinakuchekesha, hata ninapotoa salamu za rambi rambi au pole za misiba we huwa unaona nimeongea utani unacheka, au unani crashia🙃Basi uliza hapa mie nakujibu, sijawahi kuogopa au kukwepa swali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooooh sorry sana kwa hilo km huwa nakukwaza, naomba nisamehe bureeh. But sijuagi kuwa serious au kukasirika, mda wote nipo full happy. Ila ahsante kwa kunirekebisha. [emoji120][emoji120][emoji120]kwanini comment zangu zote humu huwa zinakuchekesha, hata ninapotoa salamu za rambi rambi au pole za misiba we huwa unaona nimeongea utani unacheka, au unani crashia[emoji854]