Wayahudi wamechinjwa sana kwenye historia na bado wapo tu, hata mtume Mohammad aliwahi kujaribu kuwamaliza

Wayahudi wamechinjwa sana kwenye historia na bado wapo tu, hata mtume Mohammad aliwahi kujaribu kuwamaliza

Status
Not open for further replies.
Mtume alikusanya hadi watoto wa kiume akawakata vichwa, watoto ambao hawakua na hatia yoyote kwenye hicho unasema walipanga kumuua, uniambie kama huo sio ushetani, halafu bila aibu unamsujudia

Na wana bahati sana maana kwenye kuwahukumu kama angetumia sheria ya torati ya kuua wanaume, wanawake , watoto, mifugo na kila kitu kitambaacho asingebakiza hata mmoja!.
 
Aliyetajwa kwenye chanzo habari, yule ambaye vitabu vyenu husema aligegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa, licha ya uchafu wote huo bado unamuabudu.
Kumbe Mwamedi... Akipata hela kidogo tu utamsikia akijiita Mudi.... Akiwa bilionea hujiita Mo
 
kasome quran acha uvivu k3ng ww
Kosa langu kuuliza hizo taarifa TU? Sasa mtu anatoa allegations kubwa hivyo bila Hata Aya 1 TU ya kusapoti andiko lake hapo tumuekewe vipi Kama lengo sio kudhihaki ni nini?
 
Mtume alikusanya hadi watoto wa kiume akawakata vichwa, watoto ambao hawakua na hatia yoyote kwenye hicho unasema walipanga kumuua, uniambie kama huo sio ushetani, halafu bila aibu unamsujudia
Source?
 
Na wana bahati sana maana kwenye kuwahukumu kama angetumia sheria ya torati ya kuua wanaume, wanawake , watoto, mifugo na kila kitu kitambaacho asingebakiza hata mmoja!.

Sawa hicho alichotumia kufanya huo ukatili wa kuua watoto wa kiume kisa eti kuna baadhi ya watu walipanga kumuua ndio mnatumia mpaka leo kufanya ugaidi wa kiislamu.
 
Hahaha mleta mada unataka kusema Mudi naye alikuwa GAIDI? Yani alitaka kuwamaliza Mayaudi?
Maana hizo ndio kauli za kina Ayatollah na wafuasi wake.
 
Kuna kipindi mtume aliagiza wanaume wa Wayahudi wachinjwe na wakachinjwa sana tu kwa ukatili mkubwa hadi watoto wa kiume waliobalehe, ila hatimaye alijifia na bado Wayahudi wakaendelea kuzaliana.....na hata kabla ya ujio wa mohammad na uislamu, bado kulikua na miungu iliyojaribu kuwafuta Wayahudi ila wakashindwa......
Hii hapa historia pamoja na chanzo
=====================

According to the traditional Islamic sources, in 627 AD as a result of the Battle of the Trench and the betrayal of the Muslims by the Jewish tribe of Banu Qurayza, the Muslims under the direct military command of the prophet Muhammad laid siege to the Banu Qurayzah compound. After a siege of around 2 weeks, depending on the source, the Jews of Banu Qurayzah surrendered and entrusted their fate to a trusted intermediary from the Muslims of the tribe of 'Aws, Sa'd bin Mu'adh.
Sa'd bin Mu'adh advised Muhammad to slaughter the men folk of the tribe and take the women and children as captives. Muhammad took this advice and as a consequence between 400 and 900 male prisoners of the tribe including any boys showing signs of puberty were beheaded, many in front of their families, and the rest of the tribe were taken or sold into slavery. The event is well attested to in the Islamic historical tradition, and has served as the basis for multiple rulings throughout history dealing with the treatment of captured non-Muslims by Muslim military forces.
 
Kuna kipindi mtume aliagiza wanaume wa Wayahudi wachinjwe na wakachinjwa sana tu kwa ukatili mkubwa hadi watoto wa kiume waliobalehe, ila hatimaye alijifia na bado Wayahudi wakaendelea kuzaliana.....na hata kabla ya ujio wa mohammad na uislamu, bado kulikua na miungu iliyojaribu kuwafuta Wayahudi ila wakashindwa......
Hii hapa historia pamoja na chanzo
=====================

According to the traditional Islamic sources, in 627 AD as a result of the Battle of the Trench and the betrayal of the Muslims by the Jewish tribe of Banu Qurayza, the Muslims under the direct military command of the prophet Muhammad laid siege to the Banu Qurayzah compound. After a siege of around 2 weeks, depending on the source, the Jews of Banu Qurayzah surrendered and entrusted their fate to a trusted intermediary from the Muslims of the tribe of 'Aws, Sa'd bin Mu'adh.
Sa'd bin Mu'adh advised Muhammad to slaughter the men folk of the tribe and take the women and children as captives. Muhammad took this advice and as a consequence between 400 and 900 male prisoners of the tribe including any boys showing signs of puberty were beheaded, many in front of their families, and the rest of the tribe were taken or sold into slavery. The event is well attested to in the Islamic historical tradition, and has served as the basis for multiple rulings throughout history dealing with the treatment of captured non-Muslims by Muslim military forces.

1734156120899.jpeg
 
Sheikh wangu Zanzibar tuna mashoga miaka na miaka na mayahudi hayapo huku. Tanga nako. Lamu/Mombasa usiseme. Ni janga ukienda Oman na Saud Arabia huko hawayajitangazi ila yapo sana...

Unasema Zanzibar kwani huyo Nabii wa kanisa lako Nabii Tito ametokea Zanzibar au lamu ??
 
Anayejuwa hivyo ni wewe au mungu wako ??
Muwe mnasomasoma, wayahudi walikua wengi tu arabuni kabla hata mtume hajazaliwa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-14-09-11-38-991.jpg
    Screenshot_2024-12-14-09-11-38-991.jpg
    293.6 KB · Views: 2
Muwe mnasomasoma, wayahudi walikua wengi tu arabuni kabla hata mtume hajazaliwa

Si Arabuni tu walikuwepo sehemu tofauti kwa vikundi hata huku Afrika walikuwepo Zimbabwe , Ethiopia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom