Wayahudi wamechinjwa sana kwenye historia na bado wapo tu, hata mtume Mohammad aliwahi kujaribu kuwamaliza

Status
Not open for further replies.
Mtume alikusanya hadi watoto wa kiume akawakata vichwa, watoto ambao hawakua na hatia yoyote kwenye hicho unasema walipanga kumuua, uniambie kama huo sio ushetani, halafu bila aibu unamsujudia

Na wana bahati sana maana kwenye kuwahukumu kama angetumia sheria ya torati ya kuua wanaume, wanawake , watoto, mifugo na kila kitu kitambaacho asingebakiza hata mmoja!.
 
Aliyetajwa kwenye chanzo habari, yule ambaye vitabu vyenu husema aligegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa, licha ya uchafu wote huo bado unamuabudu.
Kumbe Mwamedi... Akipata hela kidogo tu utamsikia akijiita Mudi.... Akiwa bilionea hujiita Mo
 
kasome quran acha uvivu k3ng ww
Kosa langu kuuliza hizo taarifa TU? Sasa mtu anatoa allegations kubwa hivyo bila Hata Aya 1 TU ya kusapoti andiko lake hapo tumuekewe vipi Kama lengo sio kudhihaki ni nini?
 
Mtume alikusanya hadi watoto wa kiume akawakata vichwa, watoto ambao hawakua na hatia yoyote kwenye hicho unasema walipanga kumuua, uniambie kama huo sio ushetani, halafu bila aibu unamsujudia
Source?
 
Na wana bahati sana maana kwenye kuwahukumu kama angetumia sheria ya torati ya kuua wanaume, wanawake , watoto, mifugo na kila kitu kitambaacho asingebakiza hata mmoja!.

Sawa hicho alichotumia kufanya huo ukatili wa kuua watoto wa kiume kisa eti kuna baadhi ya watu walipanga kumuua ndio mnatumia mpaka leo kufanya ugaidi wa kiislamu.
 
Hahaha mleta mada unataka kusema Mudi naye alikuwa GAIDI? Yani alitaka kuwamaliza Mayaudi?
Maana hizo ndio kauli za kina Ayatollah na wafuasi wake.
 
Your browser is not able to display this video.
 

 
Sheikh wangu Zanzibar tuna mashoga miaka na miaka na mayahudi hayapo huku. Tanga nako. Lamu/Mombasa usiseme. Ni janga ukienda Oman na Saud Arabia huko hawayajitangazi ila yapo sana...

Unasema Zanzibar kwani huyo Nabii wa kanisa lako Nabii Tito ametokea Zanzibar au lamu ??
 
Anayejuwa hivyo ni wewe au mungu wako ??
Muwe mnasomasoma, wayahudi walikua wengi tu arabuni kabla hata mtume hajazaliwa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-14-09-11-38-991.jpg
    293.6 KB · Views: 2
Muwe mnasomasoma, wayahudi walikua wengi tu arabuni kabla hata mtume hajazaliwa

Si Arabuni tu walikuwepo sehemu tofauti kwa vikundi hata huku Afrika walikuwepo Zimbabwe , Ethiopia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…