barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Pemba kuna nini cha kujivunia kwenda toka tanga kwa dk kadhaa??ndani ya dakika kazaa tumefika pemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pemba kuna nini cha kujivunia kwenda toka tanga kwa dk kadhaa??ndani ya dakika kazaa tumefika pemba
Haha hata wale wa milimani lushoto ni kujipigia( wasambaa)Iam in
From 10 to 21years
Nimekuwa tanga
So Mimi ni ndugu enu bana
Nimewafaidi sana wadigo wanashobo sana kwa wageni
Ndio hiv ukanimanya kare!!!
Kumbe yakhe hujui kuwa twapeleka nyama ya ngo'mbe na kurudi na ndizi mzuzu pamoja na vikoi na madera?Pemba kuna nini cha kujivunia kwenda toka tanga kwa dk kadhaa??
Si ndomana wakuna nazi hatuolewi na wanyikaTena bora wa dar kuliko hawa wakuna nazi wa tanga
Aya buana, ila lafdhi yenu siku moja nilitoka kapa.Niko home
Ukiwa Tanga ongea Kiswahili cha TangaAya buana, ila lafdhi yenu siku moja nilitoka kapa.
Kuna bibi nilikutana nae jioni nikiwa na siku 2 nifike tanga akanisalimia "wajionaje mwanangu" mimi hapo nkaangalia suruali faster kama ina tatizo kumbe alikuwa ananisalimia!
Hahaha, bora muoane wenyewe maana kwa vile vidawa vyenu vya kwenye visosi nkikujua nakufumua hadi ufe.Si ndomana wakuna nazi hatuolewi na wanyika
Mmhh, spendi kujua ulivomalizia kwa mbwembwe huo mpiraMnamambo nyie
Yeye: we Vic weenda api mbna wanipita
Mimi: naenda apo kwa abushiri
Yeye abushiri akupa nini uyo we njoo ..........tuangalie 5select nipo mwenyewe
Can't forget those days
Unaona wanaume zetu hutupiga kwa upande wa khanga sasa kwa minyika ucharazwe makofi mpaka uso uvie damuHahaha, bora muoane wenyewe maana kwa vile vidawa vyenu vya kwenye visosi nkikujua nakufumua hadi ufe.
Watoto wa Line polisi hapa, shule Mdote paleLusanga Lusanga, you heard!
kwa wewe labda kuna sehem kibao tanga haion ndaniTupo pamoja. Tanga nyumbani hakuna sehemu kama Tanga
kwa wachimba chumviWale wa kisosora mpo?
wadigo asili hawana toilet wanakunya baharin wametenga sehem ya wanawake na ya wanaumeSasa tukupe medani ya kuwafaidi wadigo?
sisi utatuhusu wa nanjilinji na kukilyungu kaka huo ni wadigo wabondei na wazigua tu walokuja mjini na shengena na airbusKwahiyo sisi wa nanjilinji uzi hautuhusu?
Hongea wau.Mgoshe wed wandugh
Duh!!mbona mwapondana wa tangawadigo asili hawana toilet wanakunya baharin wametenga sehem ya wanawake na ya wanaume
Kwasababu wanaishi kando ya bahari water table is high wakichimba mashimo ya vyoo yanajaa majiwadigo wa sikuhizi wana vyoo vya ku-flash mkuu.wadigo asili hawana toilet wanakunya baharin wametenga sehem ya wanawake na ya wanaume
Hatusemi " wa kutoka bara" au wa " mikoani" sisi tunawaita 'WANYIKA"Eti watu wa Tanga nao wanawaita Watu wa Mikoani ,,wa kutoka Bara", hili lilinishangaza sana, nilifikiri ni msemo wa watu wa Dar tu!