Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hukubali
Hiyo ni mila ungezaliwa huko ungefungwa kamba ikakazwa haswa mpaka unalia wakati unakuwa [emoji23][emoji23]
Kweli kuna makabila wanapitia mengi sana hadi huruma
Hao jamaa ni washapu, yaani walijuaje fuvu la mtoto huwa liko rojo rojo akiwa mchanga, sasa tabia yao wanali mould kama chungu, hehehe. Ukija kubalehe kitu kimekita tisti kuelekea hukooo... πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Wamenikumbusha "The gads must be crazy" πŸ€”πŸ˜
 
Na vibolo vya vichanga huwa wanavivuta au wanavimininya kwa sababu zao zisizoeleweka?
 
Duh! Kumbe wanafanya makusudi? 😳
 
Ndio maana mengi mpka mkuu
Wao ni matahira
Inferiority inawasumbua colonial master wao (muarabu) kawaharibu
 
Bora niwe Mmasai sasa, nikaue Simba *****!![emoji51][emoji23][emoji1787]

Weeee huko ndio balaa yaani mpaka ukate Balls za Simba ndio uoe
Hapo nitoe buriani kabla au RIP in advance

Nimejifunza na kuona makabila mengi na mila zao ila kiboko yao ni kabila moja huko Ethiopia ambapo wavulana wanachuma fimbo za uhakika na kunakuwa na Sherehe ya kutafuta wake

Wasichana wanajipanga na kuanza kuchapwa mpaka ngozi ya mgongo inapasuka
Mvumilivu ndio anaolewa Eti atavumilia maisha ya kila aina


Picha sio nzuri zingine zinasikitisha sana
Kuna wengine wamekimbia mila zao
Vipi huko unaonaje badala ya kuliwa na Mnyama?
[emoji31][emoji31]
 
nilikuwa najiuliza kwanini wazanzibar wanaokuja ofisini hawana machogo ,
 
Usishangaa ndio maana wengi e wao vilaza

Kaangalie matokeo ya form 4 na form six utaelewa

Angalia jinsi wanavyoburuzwa na watanganyika kwenye muungano .

[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…