Wazazi jitahidini kuwaelimisha mabinti wa shule waache tamaa

Wazazi jitahidini kuwaelimisha mabinti wa shule waache tamaa

Tuliza akili andika Kama graduate,,,,badala ya kuleta shtaka just treat her according to your level of thinking capacity,,,,graduate mzima huielewi adolescence
We ndio umeandika kama graduate
 
Kwa taarifa yako huyo mtoto hata akija kujazwa na njemba nyingine huko mzee baba huchomoki huk msala na ukija kuchomoka utachomoka ukiwa umechoka sana
 
😂😂eti katanikosesha papuchi loh!!...
 
Usiguneeeeee...... Tafuta Pepsi unyweeeee.

Wazazi wa siku hizi... Siyooo wawazi kwa mabinti zaooo, ukishaharibikiwa ndy wanaanza kufunguka.

Ushahidi mama yangu mzazi mm... Hajawahi niambia habari za kujitunza nikiwa kama binti ninayepambania ndoto zangu.

So nashukuru kaelimu ka shule kamenisaidia sanaaaaaaaaa
 
Usiguneeeeee...... Tafuta Pepsi unyweeeee.
Wazazi wa siku hizi... Siyooo wawazi kwa mabinti zaooo, ukishaharibikiwa ndy wanaanza kufunguka.
Ushahidi mama yangu mzazi mm... Hajawahi niambia habari za kujitunza nikiwa kama binti ninayepambania ndoto zangu.
So nashukuru kaelimu ka shule kamenisaidia sanaaaaaaaaa
Sawa mama
 
Wakuu hope mko poa.

Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.
Relax uenda ndio mke wako mtarajiwa hatakua mtoto/mwanafunzi siku zote.
 
Sasa hapo mtoto wa watu ana kosa gani. Ni tamaa ipi amekuonyesha?!

Mbona anaonekana ni binti mwenye adabu na anajitoa na kujituma. Pengine ndio future wife ila wewe na kichwa chako kizito umefeli kutambua hilo.
 
Ukute hata hakutaka kimapenzi bali anakupenda tu kama mimi naweza mpenda mtu mpaka akajua haka kabinti kanamtaks kumbe wala mi niko nafrahisha nafasi yangu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu fanya kama unanipenda mimi halafu tuone namna utakavyofurahisha nafsi yako.
 
Wakuu hope mko poa.

Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.
Kama kweli hupendi na siyo kudengua basi tafuta sehemu nyingine ya kupata mlo. Nadhani unataka watu wakwambie chukua hiyo. Ila kama kweli hutaki, na pesa ya chakula ni yako, kwanini uwekewe mtego? Anaweza kuonekana mwema kwa sasa kwa sababu hajaingia kumi na nane.

Akishaingia anabadilika utashangaa. Wake wa kutegeshewa mara nyingi wanaweza kuwa siyo wema. Hapo kumbuka unadeal na mama mtu. Ndiye yuko nyuma ya kila kitu kuhakikisha unanasa. Akili kichwani na chaguo ni lako.
 
Wakuu hope mko poa.

Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.

Kwakua sijaoa nakuwa na uvivu wa kupika, hapa kazini kwangu Kuna mmama alikuwa anauza
Anataka shoo na pia hela za matumizi ya shule.
 
Kama kweli hupendi na siyo kudengua basi tafuta sehemu nyingine ya kupata mlo. Nadhani unataka watu wakwambie chukua hiyo. Ila kama kweli hutaki, na pesa ya chakula ni yako, kwanini uwekewe mtego? Anaweza kuonekana mwema kwa sasa kwa sababu hajaingia kumi na nane. Akishaingia anabadilika utashangaa. Wake wa kutegeshewa mara nyingi wanaweza kuwa siyo wema. Hapo kumbuka unadeal na mama mtu. Ndiye yuko nyuma ya kila kitu kuhakikisha unanasa. Akili kichwani na chaguo ni lako.
Maoni mazuri fuata ushauri huu.
 
Back
Top Bottom