Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 554
- 848
Sukuma nyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We graduate bihashara ndo kitu gani?Wakuu hope mko poa.
Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.
We kweli hewa,,yaani apigwe nje mie nipate msalaKwa taarifa yako huyo mtoto hata akija kujazwa na njemba nyingine huko mzee baba huchomoki huk msala na ukija kuchomoka utachomoka ukiwa umechoka sana
Kweli wadada wanadhani nipo nako[emoji23][emoji23]eti katanikosesha papuchi loh!!...
HaaaaRelax uenda ndio mke wako mtarajiwa hatakua mtoto/mwanafunzi siku zote.
No mie inanihusu mieHii story ni kama ilishawahi kuletwa humu...
Mmm mpaka amalize shule,,ntakuwa nshaoaSasa hapo mtoto wa watu ana kosa gani. Ni tamaa ipi amekuonyesha?!
Mbona anaonekana ni binti mwenye adabu na anajitoa na kujituma. Pengine ndio future wife ila wewe na kichwa chako kizito umefeli kutambua hilo.
Mmmm sidhaniKama kweli hupendi na siyo kudengua basi tafuta sehemu nyingine ya kupata mlo. Nadhani unataka watu wakwambie chukua hiyo. Ila kama kweli hutaki, na pesa ya chakula ni yako, kwanini uwekewe mtego? Anaweza kuonekana mwema kwa sasa kwa sababu hajaingia kumi na nane. Akishaingia anabadilika utashangaa. Wake wa kutegeshewa mara nyingi wanaweza kuwa siyo wema. Hapo kumbuka unadeal na mama mtu. Ndiye yuko nyuma ya kila kitu kuhakikisha unanasa. Akili kichwani na chaguo ni lako.
Shoo hapanaAnataka shoo na pia hela za matumizi ya shule
ChugaKama ni mikoa ya pwani ndio kawaida Yao.
Mpe tu ukamatwe na ufungweShoo hapana
Baada ya hapo???Mpe tu ukamatwe na ufungwe
MeWakuu hope mko poa.
Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.
Kwakua sijaoa nakuwa na uvivu wa kupika, hapa kazini kwangu Kuna mmama alikuwa anauza chakula, nilimuomba awe ananiletea chakula Cha jioni ntakuwa nalipa.
Basi huyo mama kumbe ana binti anasoma f3, ndo akapewa jukumu la kuwa ananiletea chakula jioni.
Sasa huyu binti kwakua analeta chakula akawa na access ya kuingia dukani kwangu,na mie sikuona shida, akileta chakula anaingia moja kwa moja ndani. Kwakua kila siku ananiletea chakula usiku, sikupenda, nilimwambia maza yake au mtu yeyote awe ananiletea yeye binti abaki home awe anajisomea, lakini binti alionekana kuwa anafurahia kuniletea msosi.
Nilimzoea Kama mdogo wangu na naapa sijawai mfanya kitu au kumrubuni kimapenzi, lakini yeye kumbe dogo ananipenda hatari. Akileta chakula, akija mteja ananyanyuka chap kumuhudumia[emoji1], yaani imefikia hatua nakosa demu maana wakimuona huyo dogo kwa shob wanadhani ni demu wangu.
Mtoto sio mwizi, hachukui kitu chochote,ila kujileta kwangu na kuoshea watu kuwa yupo na Mimi nakereka Sana, nkimuambia dogo hasikii.
Wazazi na dadaz, waelimisheni wadogo zenu, maana kushobokea wanaume sio poa. Me ningekuwa sijielewi ningemla huyo mtoto,but I can't date with the kids.
N.b nyie vitoto vya sekondari jiheshimuni basi
Mimi nakutabiria tu, hiyo bihashara utaifunga ndani ya miezi michache kuanzia sasa. Then utarudi mtaani kutafuta ajira.Wakuu hope mko poa.
Me ni graduate, nilipomaliza chuo kazi hamna, niliamua kufungua bihashara, namshukuru mungu bihashara inaenda poa kwakweli.
Kwakua sijaoa nakuwa na uvivu wa kupika, hapa kazini kwangu Kuna mmama alikuwa anauza chakula, nilimuomba awe ananiletea chakula Cha jioni ntakuwa nalipa.
Basi huyo mama kumbe ana binti anasoma f3, ndo akapewa jukumu la kuwa ananiletea chakula jioni.
Sasa huyu binti kwakua analeta chakula akawa na access ya kuingia dukani kwangu,na mie sikuona shida, akileta chakula anaingia moja kwa moja ndani. Kwakua kila siku ananiletea chakula usiku, sikupenda, nilimwambia maza yake au mtu yeyote awe ananiletea yeye binti abaki home awe anajisomea, lakini binti alionekana kuwa anafurahia kuniletea msosi.
Nilimzoea Kama mdogo wangu na naapa sijawai mfanya kitu au kumrubuni kimapenzi, lakini yeye kumbe dogo ananipenda hatari. Akileta chakula, akija mteja ananyanyuka chap kumuhudumia[emoji1], yaani imefikia hatua nakosa demu maana wakimuona huyo dogo kwa shob wanadhani ni demu wangu.
Mtoto sio mwizi, hachukui kitu chochote,ila kujileta kwangu na kuoshea watu kuwa yupo na Mimi nakereka Sana, nkimuambia dogo hasikii.
Wazazi na dadaz, waelimisheni wadogo zenu, maana kushobokea wanaume sio poa. Me ningekuwa sijielewi ningemla huyo mtoto,but I can't date with the kids.
N.b nyie vitoto vya sekondari jiheshimuni basi
😂😂😂Naona una ndoto yakuishi na sabaya ghetto moja [emoji28]
Kabisa mkuu,,umenenaMkuu endelea hivyo hivyo kufikiria kwa kichwa cha juu, mchukulie kama mdogo wako, mademu wako wengi tuu...
Not easyShetani yuko karibu nawe
Mshinde katika Hilo jaribu na utafanikiwa sana