DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwa binadamu WA kawaida ñgono NI lazima Mkûu.
Labda kûna tatizo somewhere
Uliza madaktari au wanasaikolojia watakuambia.
Amiin ni sahihi mola mlezi habagui rangi kabila Wala jinsia.Hapa ndo utajua sisi wote ni wa Mungu,
Issue za Kingono ni Issues za mindset tu mkuu, huko kwa mapepo na sijui nguvu za kiroho , ni mambo yasiyokua na mashiko
Hata cuzo ikipita miaka 2 bilabila atamtafuta anaepumua tuMen get better with time, Women lose value with time.
No matter how beautiful a girl she is, on the throne of time her value decreases.
Tatizo wakiwa kwenye peak za uzuri wao huwaambii kitu.
Halafu wanakuja kushtuka Dakika za jioniiiiii....
Wanakuja JF kutafuta mume kikubwa awe anapumua tu..😄
Dah babe ndio unanishtaki kwa makarao waje wanisanye au?Acha bhangi chalii!
Je wanaofanya semen retention unafikiri hawafanikiwi??
Sex is overrated
Huwezi kuichunga Bahari,Naomba usimguse ephen wanguu.maana utakuwa unajipiga kitanzi .hapo ni pangu na kila mtu humu jukwaani anafahamu hilo.sasa wewe jichanganye uone cha mtema kuni.
Shughuli nzito sanaWanawake wengi hawajui ni rahisi kwao kupata ndoa wakiwa wadogo. Kuliko wakiwa above 30s.
Mwanamke age ikienda kupata mume sio kazi ndogo
Una hoja usikilizwe!
Nitakushikanisha ka ukiwa uko readySielewi lugha yako
Don't pressurized the youngest girlsHata cuzo ikipita miaka 2 bilabila atamtafuta anaepumua tu
Umewaza nini kuniuliza hivyo?Kapeace uliolewa ukiwa na umri upi?
Pressurize zinakuja automatically tu, nazungumzia uhalisia simtii mtu pressureDon't pressurized the youngest girls
God timing is perfect
Sisi tunaoamini katika spiritual realm we believe in process .