Kaributhere's nothing a woman loves more than being given attention. πππ
Nataka nianze kuweka attention kwako humu ndani
πππππHadi weweπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuriππππππ kikubwa nikupoa na mshangazi ukishindwa kabisa tafuta kizazi cha dhahabu 2000s
Usiguse singo maza wala namba za katikati 25s utaumia
Nishaku follow tayari ulipo nipoKaribu
ππππ kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?Hakika so upo chama la dronedrake ? Unajipandisha mlima Kilimanjaro bila wasaidizi
π€£π€£π€£Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuriπππ
Mimi ni single father pia ,single maza ni saizi yangu tuvurugane vizuriπππ
Sawa mkuuNishaku follow tayari ulipo nipo
Sio ila vina mahusiano ya karibu members ni wale wale kwa kiasi kikubwaπππππ kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?
ππππ kwani kataa ndoa ndo CHAPUTA?
TobaaaaaKATAA NDOA
Unasema watoto wa elfu 2 wanapenda ndoa?π€Je kwanini kizazi cha dhahabu kuanzia mwaka 2000s wanapenda Sana ndoa ?
Kizazi cha dhahabu kinaona mbali hasa watoto wa 2005s
Mpaji Mungu anaelewa hii issue.
Anaweza kutaka mbivu kumbe zimeoza ,bora asitake tu mbichi hizoπNimemuona lecturer wangu anasema kataa ndoa
Kanifundisha somo la Fasihi tena wakike πππ
Je huyu hataki ndoa au sizitaki mbichi.
Unasema watoto wa elfu 2 wanapenda ndoa?π€
Basi mimi ni memba wa kataa ndoa tuπ€£π€£π€£π€£π€£Sio ila vina mahusiano ya karibu members ni wale wale kwa kiasi kikubwaπ
Ngoja ufikishe miaka 30 ndio utajua wazazi walikuwa wanamaanisha nini?
Kaveli una hoja usikilizwe..!πNadhani ndiyo maana kashusha andiko hili.
Kwa wenye D mbili+... hii ni siredi ya kimkakati.
She is bright. She trying to keep her essence and value. Sio kila mtu akajianike kule 'love connect' na bango kuuubwa, nah!
Ephen, soon utaolewa na utapata mume. π
-Kaveli-