Wazazi mmekuwaje?



Ndo maana comment ya kwanza nimemwambia Una akili Sana

Anafanya mawindo kimya kimya
 
Ngoja namba ziendelee kusoma. Utakuja kufungua uzi tu wa kusema siku zinayoyoma.

Unafikiri wazazi wako hawakutakii mema? Kwanza inakuaje una marafiki wote hawaolewi?
 
Ngoja namba ziendelee kusoma. Utakuja kufungua uzi tu wa kusema siku zinayoyoma.

Unafikiri wazazi wako hawakutakii mema? Kwanza inakuaje una marafiki wote hawaolewi?
Ujasoma bandiko lote mkuu! Asha kaolewa
 
Mzee wa kububujikwa machozi n wengine ambao mmeonesha interest kwa mwandishi wa hili bandiko.

Niwaambie tu huyu mtoto yupo booked πŸ™πŸ½
 
Wanaingia ndoani ili kurahisisha maisha mkuu..

Mzigo wote anampa mume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…