Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AI ya kiluo hiyo😃😃😃😃😃🤣🤣🤣Aliekuambia atakuwa mjaluo maana hapo hamna neno la kichaga
Hapana! Siwezi kufanya hivyo kuna kijana wa kaskazini mstaarabu namsikilizia
Struggles wanazokutana nazo wadada wanaotaka kuolewa ni kwamba anataka kuolewa na juma, ila juma hataki kuoa, juma anataka ale papuchi halafu asepe, wakati hapo hapo mdada huyo huyo anatongozwa na husband material Hussein, ila hampendi Hussein, moyo haupo kwa Hussein, moyo upo kwa juma KalpanaSoon baada ya chuo maana mchumba tulipatana hapo hapo chuoni...uzuri alipata kazi baada ya kumaliza chuo..mimi aliniacha hapo chuo mwaka mmoja..so swala likawa rahisi kama kumsukuma mlevi...
Unataka uolewe lini mdogo wangu kipenzi...unasubiri nini? Je ni ww hutaki au wachumba ndo hawaji??
Umemalizaaaa....hilo ni jangaStruggles wanazokutana nazo wadada wanaotaka kuolewa ni kwamba anataka kuolewa na juma, ila juma hataki kuoa, juma anataka ale papuchi halafu asepe, wakati hapo hapo mdada huyo huyo anatongozwa na husband material Hussein, ila hampendi Hussein, moyo haupo kwa Hussein, moyo upo kwa juma Kalpana
Umeongea point, unakuta mdada ana miaka 29, hana mtoto, kwenye maongezi yake unaona kabisa huyu yupo desperate na ndoa, ila cha ajabu ukimtongoza leo, kesho anaomba hela.Utapata ukitaka...😀😀😀hakuna mwanaume ata resist kama uko na wife material fichazi...cha kwanza ni kuwa na uhitaji kutoka moyoni...sio unasema unataka kuolewa ila matendo yanaonesha unapinga ndoa...
Sasa hamtaki kuombwa fwedhwaa...😄😄😄😄😄Umeongea point, unakuta mdada ana miaka 29, hana mtoto, kwenye maongezi yake unaona kabisa huyu yupo desperate na ndoa, ila cha ajabu ukimtongoza leo, kesho anaomba hela.
Hapo mwanaume lazma u-abort mission Kalpana
ephen_ ya kweli haya dogo?Struggles wanazokutana nazo wadada wanaotaka kuolewa ni kwamba anataka kuolewa na juma, ila juma hataki kuoa, juma anataka ale papuchi halafu asepe, wakati hapo hapo mdada huyo huyo anatongozwa na husband material Hussein, ila hampendi Hussein, moyo haupo kwa Hussein, moyo upo kwa juma Kalpana
😃😃😃Kwahiyo binti asiyeomba hela ndio wife material?
Hapana! Mimi sababu sio hiyo kwamba Chaliifrancisco anataka kunioa wakati huo mimi nataka niolewe na min -meephen_ ya kweli haya dogo?