Wazazi nani kawadanganya watoto wenu wa kike na kiume hawanyanduani?

Wa tumbo Moja?
Tena bora watoto wa kijijini, hawa wa dotcom ambao tangu wakifika 4 years wanaona watu wananyonyana ndimi kwenye tamthilia, wanafanya practice sana. unawezakuta 50% ya watu walioko humu washawahi fanya uchafu huu na ndugu zao lakini wamekaa kimyaaa kama sio wao vile.

Namshukuru Mungu nilizaliwa kijijini ambako hata kukaa tu pamoja na dada zangu ilikuwa mwiko .wanaume wana sehemu yao ya kukaa, wanawake wana sehemu yao ya kukaa. ukikutwa kwa wanawake utaeleza nini unatafuta huko.

pia, I am the last born, hivyo dada zangu zote wameniacha mbali, na badala ya kukua nao pamoja ktk rika moja, walinizidi mbali kiasi cha kuniletea wajomba niwe nalea wao wakienda shamba. hivyo isingewezekana kabisa kwa umri wao kunirubuni manake nilikuwa mdogo mno kwao.

Ila nimekuwa nikiyaona yanatokea kwenye familia nyingi tu. watoto wenye rika moja wanafanya sana ngono, na hutajua manake utakuwa unafikiri ni upendo wa kaka na dada.
 
Ni Hatari sana
 
Ur a c student. Mimi nimetoa tahadhari nimeelezea uozo uliopo katika jamii Na kuwataka wazazi wamchukue tahadhari...
Ulichoongea mimi nimekuelewa sana na naamini wengi wamekuelewa unamaanisha nini. Tunashukuru kwa tahadhari uliyotoa
 
Broh! Umenikumbusha ngoma moja hivi ya mwanaHipHop wa kuitwa Dizasta Vina.
Ngoma inakwenda kwa jina SISTER KADATA. Jamaa kumbe kachana ukweli mtupu. DAH!
 
Wakati ule wa COVID ikiwa imepamba moto wanafunzi walirudishwa nyumbani kuna mama mmoja alijikuta ktk wakati mgumu baada ya mabinti zake wawili kubeba mimba ambapo mkubwa alikuwa around 15 mdogo alikuwa 13 na kaka yao alikuwa 17 na akabaini zile mimba zoote ni za kaka yao walikuwa wakifanya wanafurahia kaka yao akiwamwagia mbegu.
 
Balehe inaanzia miaka mingapi? Kwa mimi dini yangu mtu akishabalehe tayari anajua jema na baya. Kwa umri wa miaka 13 na kuendelea ni watoto wenye malezi mabovu au watoto watukutu ndio wenye kuweza kulana wenyewe kwa wenyewe!

Huon mtoa mada anasema hadi wenye miaka 20 sasa huyu mkubwa kabisa asichoelewa ni nn?
 
Katika maisha yenye kumpuuza Mungu lolote linawezekana

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mtamshambulia sana mtoa mada kwa tahadhari aliyoitoa lakini haya mambo yapo. Niliwahi kushuhudia kaka mtu akimtukana mdogo wake sababu dogo amekuwa mjanja hataki tena kutoa mbususu. Mpaka leo sijamaliza kushangaa.
Basi ukiona hivyo ujuwe huyo Kaka Mtu ni Binaadamu aliyekosa Akili za Kibinaadamu lakini ana akili za Wanyama! Siyo Binaadamu woye Wana akili za Kibinaadamu, wengine akili zao ni za Wanyama kabisa,na hajui kutofautisha ndg na Mtu baki,wote anawaweka kapu moja Kama Jogoo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
 
Ur a c student. Mimi nimetoa tahadhari nimeelezea uozo uliopo katika jamii Na kuwataka wazazi wamchukue tahadhari...
Mawazo hayo umeyapataje? Umeanzaje kufikiria kitu hicho?
 
Alipata hasara ya millenium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…