Wazazi nani kawadanganya watoto wenu wa kike na kiume hawanyanduani?

Mkuu never on the earth mwanaume alewe kiasi cha kutojitambua halafu afanye sex never ever . Labda alawitiwe Na wahuni lakini sio yeye kufanya chochote. .. Tena bible Ina SEMA Lot was passed out Yani alikuwa amezimia . Toka lini mwanaume alie Lewa kiasi cha kupoteza fahamu anaweza kufanya sex?

Hata huyo Nuhu unae msema baadhi ya wananzuoni nguli wasomi WA kiyahudi wanasema alipolewa akakaa uchi Mtoto wake HAMU alivyo MKUTA akiwa uchi alimlawiti na Nuhu alipo gundua kitendo alicho FANYIWA Na Mtoto wake AKAMPA laana.

Mkuu heshima Na utukufu unayo wapa Hao characters WA kwenye Biblia ungewapa wazazi wako Na mababu zako ungebarikiwa Sana.

Kwangu Mimi Mama yangu mzazi ndio mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote duniani Na baba Angu ndio baba WA Imani Na mababu zangu ndio watakatifu WA ukweli.

Nime kuatachia Na maelezo kuhusu Noah kulawitiwa Na Mtoto wake Ham.

 
Duh Hatari sana
 
Asante kwa ushauri mzuri🙏🙏
 
Broh! Umenikumbusha ngoma moja hivi ya mwanaHipHop wa kuitwa Dizasta Vina.
Ngoma inakwenda kwa jina SISTER KADATA. Jamaa kumbe kachana ukweli mtupu. DAH!
Kwamba jamaa kapendwa Na dada Ake?
 
Dah[emoji848]
Aibu kubwa hii kwa familia[emoji17]
 
hicho kizazi kimelaaniwa hadi leo hii, wanasema kuna uwezekano walishapukutika wote, au wengi walishaingiliana na wakazi wa Jordan ya sasa. walikuwa Wamoabu au Waamon kama sikosei, ndio walikuwa adui sana wa wayahudi hawa.
 
acheni kusikiliza haya mashetani yanayojifanya kutafsiri Biblia. Bibia imeweka mambo yote wazi, kwenye spade wamesema spade, kwenye kijiko wamesema kijiko. ndio maana dhambi ya sodoma na gomora imeelezwa wazi kuwa ni kufilana wanaume kwa wanaume, kwahiyo acheni kuleta story za uongo kuhusu Noah.
 
Ma rabbi wa kiyahudi unawaita mashetani? Utalaaniwa shauri yako
 
hicho kizazi kimelaaniwa hadi leo hii, wanasema kuna uwezekano walishapukutika wote, au wengi walishaingiliana na wakazi wa Jordan ya sasa. walikuwa Wamoabu au Waamon kama sikosei, ndio walikuwa adui sana wa wayahudi hawa.
Lutu alikuwa muhuni period.
 
Ma rabbi wa kiyahudi unawaita mashetani? Utalaaniwa shauri yako
hao ni wafia dini wa kirumi/roma anaamini bila catholism hakuna kumwona Mungu. wakati catholism imepotea na haijawahi hata kumwona Mungu. show me even one thing God has manifested himself in your church.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…