Wazazi tumefeli wapi katika malezi ya watoto wa "2000" tujisahihishe

Wazazi tumefeli wapi katika malezi ya watoto wa "2000" tujisahihishe

Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.

Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.

Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".

Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma

UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.
Ujisahihishe we nanani?acha tuenderee kufumua marinda,wengine ayo mavimabichi ya 2000 ndostarehe yetu,wana miq.. Laiiiniiii...
Na wazidi kuaribika ili wazee tupone.
.wote tuseme amiin!🙏
 
Tatizo lipo Kwa wanaume na sio Kwa hao watoto wa kike

Wanaume ndo wanaharibu jamii Kwa aslimia kubwa.

Kumkuta MTU Ana miaka 30s anahangaika na kitoto cha 2000s ni jambo la kawaida

Wanaume ndo wanabidi kualumiwa zaidi
Unamaan gan kusem kitt cha 2000? Hujui kuwa nimtu mzima mwenye 24yrs? Ana akili TIMAMU na ana aki yakufanya mamuziyake, hata akitaka kulal na mzee wamiaka 90 ni yy
 
Tatizo lipo Kwa wanaume na sio Kwa hao watoto wa kike

Wanaume ndo wanaharibu jamii Kwa aslimia kubwa.

Kumkuta MTU Ana miaka 30s anahangaika na kitoto cha 2000s ni jambo la kawaida

Wanaume ndo wanabidi kualumiwa zaidi
Sasa hao wa miaka 30 si ndo size yetu mkuu,,yaani tuolewe na wa 2000 wenzetu🥲🥲
 
Tatizo lipo Kwa wanaume na sio Kwa hao watoto wa kike

Wanaume ndo wanaharibu jamii Kwa aslimia kubwa.

Kumkuta MTU Ana miaka 30s anahangaika na kitoto cha 2000s ni jambo la kawaida

Wanaume ndo wanabidi kualumiwa zaidi

Unajua mtu wa 2000 sasa ana miaka 24. Mwenye 30 wamepishana miaka 6 tu. Hao ni watu wazima. Maisha yao uamuzi wao.
 
Malezi, zamani hofu ya Mungu ilitibu huu ujinga..

Lakini pia kuna wanaume wapumbavu wajinga ambao vichwa vyao na miili yao imejaa laana , mwanaume mzima na akili yako unaanzaje kupita njia za M∆VI?
 
ndo michezo yetu mazeee wazee wa mjinikk
FB_IMG_1729357560578_1.jpg
 
Back
Top Bottom