Wazazi tumefeli wapi katika malezi ya watoto wa "2000" tujisahihishe

Wazazi tumefeli wapi katika malezi ya watoto wa "2000" tujisahihishe

Watoto wakiwa shuleni wanafundishana ujingaa yaani ni hivi kwa mfano shule za galz huwa wanakaa na kuanza kusimuliana the way wanavyotongozwa na wanaume wa rika mbalimbali,

na namna wanavyojihusisha na ngono pamoja nao na wanaelekezana staili na mengine mengi nadhani membaz wa kike watakuja kutoa ushahidi kwa wale waliosoma shule za galz tupu aidha advans au olevo
Ndio mana naogopa kupeleka mtoto hizo shule za girls pekee hata wa ndugu Yangu tu
 
Hapana si sawa mkuu. Kwa sisi waafrika tunaishi katika falsafa ya ujamaa. Watoto wako ni watoto wangu. Binti wa mwenzako anaweza kuja mke wa kijana wako so ukihangaika na binti huyo unaweza kuwa unahangaika na mwanao wa kiume indirectly.
Hangaika na watoto wako. Wa wenzio waachie wenzako.

Wewe wako wanatumia line ngapi?
 
Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.

Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.

Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".

Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma

UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.
Life style ya mjini ni mbaya watu wa mjini wanajifanya wanalea watoto kishua eti waonekane wana pesa kumbe wanawaharibu,mavazi ya mjini vituko,shule za mjini kwenda gari kurudi gari hahaha 🤣, vyakula sasa ndo usiseme kemikali tupu,cha kufanya hata kama unaishi mjini ishi maisha ya kawaida tu hata kama una pesa usiige,somesha watoto shule za kawaida kula vyakula vya asili,wanunulie watoto mavazi yanayofaa hapa ndiyo wengi wanafeli unakuta mama mzima amevaa siketi fupi mapaja yanaonekana halafu ameongozana na mtoto kwenda sokoni huku amemvalisha mtoto wa kike suruari anayobana imemchora kabisa,haya maisha ya mjini yanaharibu vizazi ukienda kijijini hawaishi hivyo
 
Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.

Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.

Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".

Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma

UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.

Kizazi cha ARV.

Wengi walizaliwa wakiwa na virusi vidhaniwavyo kuwa ni vya ukimwi.
 
Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.

Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.

Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".

Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma

UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.
Acha waendelee hivyo hivyo.

Maisha yakisha wapiga kisawasawa hakuna kuonea huruma.

Kuna mdau alileta uzi humu wa wakina mama wauza matunda, Tuwe tuna waonea huruma kwa kuwaungisha biashara zao.

Lakini comments nyingi zilionesha wengi wa wakina mama hao, walikuwa ni sikio la kufa halisikii dawa.

Kwa hivyo hata hao mabinti ni swala la muda tu, Life will teach them a lesson.
 
Kuacha tabia ya kuwaingilia wadada kinyume na maumbile sio rahisi, hasa hasa katika nyakati zetu ambazo kuna sexualization of females buttocks, Yani insta wadada wanatingisha na kuonesha makalio Yao yenye shepu nzuri, mtaani huku mjini ndo kabisa, wadada Wana makalio yameshiba balaa, nikiona hivyo looh mawazo ya kuwala nyuma yanajaa kichwani To yeye
Aisee 🙌
 
Atakuliza kwanini hutaki ?
Utajibu " huo ni udhalilishaji kabisa"
Vingine vyote mnavyofanya sio udhalilishaji?
Ama hii umeamua kuitafsiri kibinafsi ?
We rafiki,kwanza mtu kutaka tu hilo sijui anaanzaje....au kuniuliza hivyo sijui anaanzaje?
Wanawake Kuna muda tujue namna tunavyodharaulika na wanaume baada ya kutumika hata kwa njia ya kawaida.Niwaachie nyie,furahieni
 
Acha waendelee hivyo hivyo.

Maisha yakisha wapiga kisawasawa hakuna kuonea huruma.

Kuna mdau alileta uzi humu wa wakina mama wauza matunda, Tuwe tuna waonea huruma kwa kuwaungisha biashara zao.

Lakini comments nyingi zilionesha wengi wa wakina mama hao, walikuwa ni sikio la kufa halisikii dawa.

Kwa hivyo hata hao mabinti ni swala la muda tu, Life will teach them a lesson.
Point
 
Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.

Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.

Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".

Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma

UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.
Watoto wa elfu 2 wanapaparikia sana maisha, + ujuaji mwingi
 
Kuacha tabia ya kuwaingilia wadada kinyume na maumbile sio rahisi, hasa hasa katika nyakati zetu ambazo kuna sexualization of females buttocks, Yani insta wadada wanatingisha na kuonesha makalio Yao yenye shepu nzuri, mtaani huku mjini ndo kabisa, wadada Wana makalio yameshiba balaa, nikiona hivyo looh mawazo ya kuwala nyuma yanajaa kichwani To yeye
Nilikuwa najiuliza sana kuhusu kwanini wanaume walio wengi wanapenda makalio makubwa kumbe kwa sababu ya ushetani daah
 
Back
Top Bottom