To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Never,Kuna vitu siyo vya kulegeza mkuu...huo ni udhalilishaji kabisaViapo zinavunjwa kila siku .
Wewe omba tu usikutane na hivyo vishawishi lasivyo inalikaa hadi laini ya 4 G
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never,Kuna vitu siyo vya kulegeza mkuu...huo ni udhalilishaji kabisaViapo zinavunjwa kila siku .
Wewe omba tu usikutane na hivyo vishawishi lasivyo inalikaa hadi laini ya 4 G
We JamaaHata mimi ninapoishi, rafiki zangu wa kike wengi wanalalamika kuwa wanaume siku hizi tunapenda kuingilia wanawake kinyume na maumbile, hao rafiki zangu wa kike wanapata malalamiko toka kwa rafiki zao Miss Natafuta Lamomy To yeye Ms R Kelsea Mzee wa kupambania mzabzab Madame B
Atakuliza kwanini hutaki ?Never,Kuna vitu siyo vya kulegeza mkuu...huo ni udhalilishaji kabisa
Sidhani bhaana kama wazazi wa 1980 kushuka walikua na haya mambo utoke vitani kagera uwaze LAINI MBILIHaya mambo hata zamani yalikuepo sema watu wa zamani walikua wasiri wanakula kimya kimya madogo hawana vifua
Oya 🤣🤣🤣Atakuliza kwanini hutaki ?
Utajibu " huo ni udhalilishaji kabisa"
Vingine vyote mnavyofanya sio udhalilishaji?
Ama hii umeamua kuitafsiri kibinafsi ?
Mmmhh hii Hatari sana... 🥺Viapo zinavunjwa kila siku .
Wewe omba tu usikutane na hivyo vishawishi lasivyo inalikaa hadi laini ya 4 G
Kizazi kimepoteza muelekeoWatoto wa 2000 Kama wanavyoitwa ni watoto ambao wazazi wqoo ni kile kizazi ambacho kwa sehemu kubwa walikuwa wanakula Ada wakati ule wanasoma. Ni watu ambao usimamizi na kujali mambo yao na wengine ilikuwa ni mtihani. Wakazaa watoto wakaacha wakue na si kuwalea. TV zzimellea sana watoto na ndio hawa tunaowaita wa 2000
Sana watu wanaendekeza sana ngono kupitia zinaaMmmhh hii Hatari sana... 🥺
Sasa wao wataoliwa na akina naniSolution ni nyinyi wanaume muache kula kula ovyo hao watoto.....kuleni watu wazima wenzenu
Pole kumbe hujui matapeli wengi ndio wanakuwa viongozi hawahawa wa mjini.Viongozi wenye akili nyingi watatoka vijijini! Maana huku mjini tumevulugwa!
Hii inafikirisha sanaSijajua tuseme kwamba takriban watu wote hawana akili, kwa sababu ukifikiria kwamba viongozi na mapihechdii ndio wako mstari wa mbele kwenye hilo janga, unabaki mdomo wazi.
Halafu kuna wale ambao ni seemingly innocent wanaojitosa kwenye hizo sodomagomora, siyo kwa kupenda, bali, kwa mujibu wao wenyewe, ili ^kuzinusuru^ ndoa zao
Kanasema tuu viapo anavijua labda aseme msimamo .Oya 🤣🤣🤣
Kuanzia 2000 toa 99 kurudi maana sidhani kama kuna mtu anakula Gen Alpha wa 2010 kuja juu anakua bado kitoto mnoUnazungumzia gen Z
Watoto wakiwa shuleni wanafundishana ujingaa yaani ni hivi kwa mfano shule za galz huwa wanakaa na kuanza kusimuliana the way wanavyotongozwa na wanaume wa rika mbalimbali,Wanajukwaa Nakuja Hapa kwa Moyo Mzito Sana Na Umejaa Majonzi Makali Mno Hasa Watoto wa Kike kwa Kizazi Hiki Cha 2000.
Mabinti wengi Karibia 85% waliozaliwa 2000 Wameshaharibika naongea nikiwa na ushahidi Tosha na Asilimia Yote hiyo mabinti wanatumia "LAINI MBILI" au "WANAPIGA MIGUU YOTE" tena bila aibu na wengi wameshazoea na kama Kijana wa kiume kama haupigi Miguu Yote au Ukiwa kijana unatumia Laini Moja wanakushangaa Sana na kuonekana Mshamba.
Nimekua nikifanya "Uspy" kujua nini Hasa Kimesababisha Kadhia Hii kwa kiasi Kikubwa ni KUKOSA MALEZI BORA ya Wazazi Pia Sababu Nyingine ni Kutamani Maisha Matamu Haraka Bila kufanya kazi na wengi hawayapati hayo maisha matamu wanaishia "KUUMIZA DEVICES ZAO".
Imefika wakati wanasema Wazi wazi mimi NAPIGA MIGUU YOTE we kama una Hela Sema na Ukimuangalia unaona Bado Mdogo sana unamuonea Huruma
UNADHANI NINI KIFANYIKE ILI ANGALAU KUMALIZA HII KERO KABISA NA HAKIKA INAWEZEKANA.
Nakubaliana na wewe na Mzazi anajali sana mtoto kuangalia TV mbona sisi tulikua tu bila TV na maisha yalisonga na unabaki hime unasubiri mama arudi bila Tv na hakuna kwenda kucheza mbali.Wazazi wamewekeza muda kutafuta oesa kwa ajili ya familia, huku hizo familia zikiharibika
Better umtrain Home mwenyewe kama Tatizo ni EnglishNdio maana kila siku nawaambia hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni shule za Ems wakati kiasi chenyewe ndio hichi.
Haya sasa twende kazi. Haraka sana toa watoto wako shule za Ems warejeshe Kayumba.
Thank me later.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻