Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Huyo kijana Ni muhuni wa Africa,ana kale ka uchoyo ka wanaume zetu,kamseduce dada wa watu na pesa zake kumbe kashazikatia bima!Kweli they call it Africa we call it home
we utakubali kugawana na mwanaume 50/50 baada ya kuachana??
 
Huyo aliyekuwa anataka kugawiwa Mali na Hakim ana kazi na Hela nyingi tu lakini Kwa kuwa mwanamke kaumbwa ubinafsi na roho mbaya akawa anataka na za mwenzie
 
Nyinyi ndo mmeiharibu hii dunia kwa kiasi kikubwa jpo c wte ila usisahau mama yake Hakimi pia ni mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…