n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hii mambo imeshaanza kukomaa kwenye societies zetu. Yani kila mtu anamwangalia mwenzake kimachale machale tu. Mungu atusaidie sana.Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake
ushahidi kuprove hili?Huyo kijana kwa Nini alimtongoza huyo bidada?
Bibie karembo
Kwenye picha utasema me ndio ana 31 ke ana 19Kijana ndiye aliyetongozwa na kurubuniwa....
Hapa umemaliza,lakini Kwa ku-summarise haha mawazo Yako, ni kwamba watu tusioane Kila mtu akomae kivyake ila Kwa kuongezea tu,mimba kanunueni maabara ili watoto wenu watumie majina yenu kabisa!Habari ndio hiyo, sasa hivi wanawake wasome wafuate ndoto zao wafanye kazi au biashara wanazozitaka, hakuna tena kufuata ndoto za mume
Kila mtu awe busy kutafuta pesa zake, mwanamke hata akiondoka asubuhi na kurudi usiku hatakiwi kuulizwa wala kulalamikiwa sababu naye anatafuta pesa zake, ili mwisho wa siku wakiachana naye awe na chake asidai cha mumewe
Na wanaume waache kelele za oo mke wangu hanipikii hanifulii hanipetipeti wala hanijali kama anavyowajali watoto, maana kumbuka naye yuko busy kama wewe anatafuta pesa zake, hapo ndoa ndio zitakuwa rahisi
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa atatoka kutafuta hela na mimba? Vipi kuhusu watoto na hiyo habari ya kutoka kurudi usiku?Habari ndio hiyo, sasa hivi wanawake wasome wafuate ndoto zao wafanye kazi au biashara wanazozitaka, hakuna tena kufuata ndoto za mume
Kila mtu awe busy kutafuta pesa zake, mwanamke hata akiondoka asubuhi na kurudi usiku hatakiwi kuulizwa wala kulalamikiwa sababu naye anatafuta pesa zake, ili mwisho wa siku wakiachana naye awe na chake asidai cha mumewe
Na wanaume waache kelele za oo mke wangu hanipikii hanifulii hanipetipeti wala hanijali kama anavyowajali watoto, maana kumbuka naye yuko busy kama wewe anatafuta pesa zake, hapo ndoa ndio zitakuwa rahisi
Mama akifariki mali za wajombaHakimi amenifungua upofu wangu huu ndyo utakuwa mwenendo wenyewe Kila mtu ahakikishe anaandikisha Mali Kwa mama yake tusije tukalaumiana siku ya kupeana talaka mahakamani.
majukumu yapi tusiyoyafanya unayoyazungumzia???Ni wanaume ndio mmeifanya ionekane hivyo kwa kutaka kukimbia majukumu yenu
Sijakataa kwenda kutafuta .Na tumbo lako la miezi 7 utaenda kutafuta nini na wapi?Sasa nao si wanatafuta pesa zao ili mwisho wa siku wakiachana mwanamke awe na mali zake asidae za mumewe
Mnaendekeza tamaa,kwani mke wa hakimi hana kazi,mali alikua nazo ila tamaa za kutaka zaidi zikamponza.Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.
Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.
Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.
Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.
Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.
Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.πππππ Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.
Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
Sawa nimeelewa mkuu, tusomeshe tu watoto wawe na Kaz zao ambzo hata wasipopewa huduma na mwanaume ztawasitiri kidogoMleta mada usilolijua ni kama usiku wa giza...
Samir Nasri ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye alipoteza mali zake baada ya kutalikiana na mke wake wa zamani, Anara Atanes....
Emmanuel Eboue ni mchezaji wa soka wa zamani wa Ivory Coast ambaye alipoteza mali zake baada ya talaka yake na mkewe mwaka 2017.
Ray Parlour - Mchezaji wa zamani wa Arsenal ya Uingereza, ambaye alipoteza pauni milioni 2.5 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.
David James - Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England, ambaye alilazimika kuuza nyumba yake baada ya kutalikiana na mkewe.
Ryan Giggs - Mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Wales, ambaye alipoteza takribani pauni milioni 40 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.