Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake
Hii mambo imeshaanza kukomaa kwenye societies zetu. Yani kila mtu anamwangalia mwenzake kimachale machale tu. Mungu atusaidie sana.
 
Hapa umemaliza,lakini Kwa ku-summarise haha mawazo Yako, ni kwamba watu tusioane Kila mtu akomae kivyake ila Kwa kuongezea tu,mimba kanunueni maabara ili watoto wenu watumie majina yenu kabisa!
Wanaume tuishi kwa kununua uchi tu, kufanya maisha yawe mepesi ila yenye kuijenga taifa la hovyo kabisa!
Ni machaguo tu!
 
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa atatoka kutafuta hela na mimba? Vipi kuhusu watoto na hiyo habari ya kutoka kurudi usiku?
 
Sasa nao si wanatafuta pesa zao ili mwisho wa siku wakiachana mwanamke awe na mali zake asidae za mumewe
Sijakataa kwenda kutafuta .Na tumbo lako la miezi 7 utaenda kutafuta nini na wapi?
 
Mnaendekeza tamaa,kwani mke wa hakimi hana kazi,mali alikua nazo ila tamaa za kutaka zaidi zikamponza.

Unazaa na mtu watoto wawili mnalala mnaamka kumbe unawaza siku moja uende mahakamani udai talaka ili upate mali

Hakimi kaamsha akili za wanaume wengi zilizokua zimelala kizembe.mtanyooka tu

Wanawake matapeli hii ndio dawa yao sasa
 
Wanawake bhana.

Naona wengi humu wanaangalia upande wa yule mke, ila hawavai viatu vya Yule mama. ( Hapa inazua maswali mengi )

Sasa najiuliza je yule mama wa Hakim Ashraf yeye sio mwanamke?
 
Mleta mada usilolijua ni kama usiku wa giza...

Samir Nasri ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye alipoteza mali zake baada ya kutalikiana na mke wake wa zamani, Anara Atanes....

Emmanuel Eboue ni mchezaji wa soka wa zamani wa Ivory Coast ambaye alipoteza mali zake baada ya talaka yake na mkewe mwaka 2017.

Ray Parlour - Mchezaji wa zamani wa Arsenal ya Uingereza, ambaye alipoteza pauni milioni 2.5 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.

David James - Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England, ambaye alilazimika kuuza nyumba yake baada ya kutalikiana na mkewe.

Ryan Giggs - Mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Wales, ambaye alipoteza takribani pauni milioni 40 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.
 
Sawa nimeelewa mkuu, tusomeshe tu watoto wawe na Kaz zao ambzo hata wasipopewa huduma na mwanaume ztawasitiri kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…