Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Sasa mbona wakifanya wadada wa kazi mnalalamika kuwa kazi zote wameachiwa wao hadi kufikia hatua ya ninyi kutembea na hao wadada
Achana nao, full kujitetea...waache
 
Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.

Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.

Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.

Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.

Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.

Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.

Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
Cheki jamaa yangu analia Twitter huko , Hakimi alikuwa sahihi mno, na siku zote wanawake wasomi wengi wataishia kuwa single mothers maana hawataki habari za kutawaliwa, Wana testosterone nyingi wanataka utawala na hatuwezi wapa, hebu soma hiyo pic chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20230415-221313.jpg
    Screenshot_20230415-221313.jpg
    38.6 KB · Views: 1
Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.

Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.

Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.

Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.

Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.

Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.

Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
Mke wa Hakimi ana masters
 
Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.

Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.

Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.

Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.

Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.

Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.

Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
Shida yenu mnasomeshwa na mnapata kazi, na kazi zenu haziwamalizii shida zenu. Yaani mnaendelea kuwa tegemezi.

Inabidi mpewe Elimu ya kujitambua ila hizi kazi na Elimu zenu za mashuleni zimewafikisha hapa mlipo.

Kingine kwa sisi tulio oa, tunajua nafasi ya mama na mke. Kila mmoja kati ya hao wana nafasi yake, ila kwa ujumla wake nafasi ya mama ni kubwa kuliko nafasi ya mke, japokuwa Kuna wakati mke anatangulizwa.
 
Shida yenu mnasomeshwa na mnapata kazi, na kazi zenu haziwamalizii shida zenu. Yaani mnaendelea kuwa tegemezi.

Inabidi mpewe Elimu ya kujitambua ila hizi kazi na Elimu zenu za mashuleni zimewafikisha hapa mlipo.

Kingine kwa sisi tulio oa, tunajua nafasi ya mama na mke. Kila mmoja kati ya hao wana nafasi yake, ila kwa ujumla wake nafasi ya mama ni kubwa kuliko nafasi ya mke, japokuwa Kuna wakati mke anatangulizwa.
Yeah,nasi tutajaliwa na wanetu mkuu
 
Cheki jamaa yangu analia Twitter huko , Hakimi alikuwa sahihi mno, na siku zote wanawake wasomi wengi wataishia kuwa single mothers maana hawataki habari za kutawaliwa, Wana testosterone nyingi wanataka utawala na hatuwezi wapa, hebu soma hiyo pic chini.
Maisha ya ndoa yamekuwa ovyo sana
 
Unaibeba familia kiuchumi kivipi wakati ndio kutwa mnalalamika kuwa wanawake wanaingia kwenye ndoa sababu ya mali hivo nao wafanye kazi watafute vyao
Sio wote....kuna ambao wanaheshimu majukumu yao ya kindoa
 
Una hoja!
hiki Ni kiwango Cha juu Cha ubinafsi,na uchoyo
 
Back
Top Bottom