Wazazi wa Mbunge Bashiru Ally, PhD

Ningekua Bashiru ningefungua Kanisa nihubiri kuhusu Upendo, Kutokuonea watu, Kutodharau watu, kujenga Misingi ya Kuheshimu wengine hata kama hawana cheo, Na kuwasihi walioko Madarakani leo kwamba ya kesho ni Mungu pekee anaeyajua.
 
Sasa hivi mengi yatajulikana.
Wasukuma tumesukumiziwa mzigo mzito wa lawama kumbeeee.....
Hata yule fulani si msukuma
Polepole na asili ya Burundi.
Kaaaz kwer kwer!
 
Unawatakia nini bwashe au unataka kutambika?
 

Akili Kubwa Hujadili Mawazo.

Akili za Wastani Hujadili Matukio.

Akili Ndogo Hujadili Watu.

 
Ningekua Bashiru ningefungua Kanisa nihubiri kuhusu Upendo, Kutokuonea watu, Kutodharau watu, kujenga Misingi ya Kuheshimu wengine hata kama hawana cheo, Na kuwasihi walioko Madarakani leo kwamba ya kesho ni Mungu pekee anaeyajua.
Bashiru ni binadamu laiti tungevaa viatu vyake tuone mapito anayopitia tusingefunua vinywa kumnanga
 
Kijiji alichotoka choo cha nje (paplick )kimechimbwa burundi
 
Kwa taarifa yako,watu wa mipakani,hususani Kagera,maeneo ya ngara,mtukura,kyelwa wanafanana na watu wa nchi jirani,hata lugha zinafanana.
Ni kitu Cha kawaida,sasa ulitaka mzaramo afanane na Mganda,au mrundi kuliko mnyia wa Tunduma,au Muha wa kigoma?
 
Bashiru ni binadamu laiti tungevaa viatu vyake tuone mapito anayopitia tusingefunua vinywa kumnanga

Kwani nini kimemkumba mkuu? Ina maana kaumia na msiba kuliko wafiwa wenyewe?
 
Kwa taarifa yako,watu wa mipakani,hususani Kagera,maeneo ya ngara,mtukura,kyelwa wanafanana na watu wa nchi jirani,hata lugha zinafanana.
Ni kitu Cha kawaida,sasa ulitaka mzaramo afanane na Mganda,au mrundi kuliko mnyia wa Tunduma,au Muha wa kigoma?

Taabu ni kufanana na roho za ugenini mkuu.
 
Jamaa hadi naanza kumuonea huruma ile kibinadam yaan.Hili kosa alilofanya Bashiru ni baya kwa taifa lakini kibongobongo hizi matukio tulio wengi zishatukuta makazini kwetu.
 
psychological torture anayopitia bwana huyu inatosha hebu mumuache kwanza....
 
Halafu wahuni sio watu,

wakamuweka pemben ya Comrade Mwamba Abdulrahman Omar Kinana!
Unajua ni kwanini Kinana hakuweza kugombea ubunge huko Arusha baada ya kuwa mbunge awali? ni Wagogo tu ndio wana asili ya hapahap Tanzania wengine wote ni wahamiaji tu pamoja na hao wazaramo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…