Wazazi wa mtoto huyu watakesha wanabubujikwa machozi ya furaha na kumuombea maisha marefu Rais Samia

Wazazi wa mtoto huyu watakesha wanabubujikwa machozi ya furaha na kumuombea maisha marefu Rais Samia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.

Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.

Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?

Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?

Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

Screenshot_20240718-203501_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Amefanya jambo jema la kiubinadamu.
Kwa hakika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, Mama wa huruma na upendo anastahili pongezi na kuungwa mkono kwa moyo wake wa upendo kwa watu. Kwa hakika Mama ni zaidi ya kiongozi.Ni mama kwelikweli ambaye anajuwa uchungu wa Mwana.
 
Kwa hakika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama wa huruma na upendo anastahili pongezi na kuungwa mkono kwa moyo wake wa upendo kwa watu. Kwa hakika Mama ni zaidi ya kiongozi.Ni mama kwelikweli ambaye anajuwa uchungu wa Mwana.
Unakuza sana mambo!
Lucas ushawahi kumuona mtu anaongea hadi mdomo unatoa mapovu meupe?
 
Kwa nyuzi zako zilivyo ndefu, naona kabisa ukiziongea utatoa mapovu ya mdomo
Mbona hapa ndio nimejibana kwa ajili yako ili andiko liwe fupi ephen wangu .Rais Samia kwa mambo mazuri anayoyafanya naweza kuandika andiko refu ambalo nikilitandika chini linaweza kuanzia Tunduma mkoani Songwe hadi kariakoo na bado likawa linaendelea tu,mpaka watu wasome wabaki wanatokwa na machozi tu utafikiri wameingiwa na mchanga machoni.
 
Mama Samia ana hofu ya Mungu. Huwezi mfananisha na watu waliokosa aibu wanaochangisha maskini mamilioni ili kununua V8 la Lissu. Hongera Lucas kwa uzi mfupi wenye ufafanuzi wa kutosha.
Lissu na michango yake sijuwi kaishia wapi. Lissu anachekesha na kushangaza sana eti anataka gari la kifahari kwa Matanuzi yake mwenyewe wakati chama chake hakina hata ofisi.
 
Lissu na michango yake sijuwi kaishia wapi. Lissu anachekesha na kushangaza sana eti anataka gari la kifahari kwa Matanuzi yake mwenyewe wakati chama chake hakina hata ofisi.
Lissu alitegeshewa ajali ya kisiasa na wenzake. Unadhani hata Mbowe mwenyewe ni mjinga kiasi cha kuchangisha watu mamilioni ya kununulia V8 lake? Kile ni kitendo cha kujipaka mavi.
 
Lissu alitegeshewa ajali ya kisiasa na wenzake. Unadhani hata Mbowe mwenyewe ni mjinga kiasi cha kuchangisha watu mamilioni ya kununulia V8 lake? Kile ni kitendo cha kujipaka mavi.
Lissu alitegeshewa ajali ya kisiasa na wenzake. Unadhani hata Mbowe mwenyewe ni mjinga kiasi cha kuchangisha watu mamilioni ya kununulia V8 lake? Kile ni kitendo cha kujipaka mavi.
Sasa amepewa ujumbe murua kabisa na watanzania kuwa wao siyo wajinga na hawatapeliki kijinga. Kama anataka gari la kifahari na anasa aende akanunue kwa pesa zake Mwenyewe.
 
Ujinga na wivu ndio vinakusumbua na li roho lako la kishetani hilo. Wewe umesaidia wangapi katika hao maelfu unaowasema? Kwanini usiwasaidie? Kwa hiyo ulitaka mtoto yule asipewe msaada kwa sababu wapo wengine sehemu nyingine? Kwanini unakuwa na roho ya kichawi kiasi hicho???
Bahati mbaya siwezi kujibishana na MACHOKO
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.

Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.

Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?

Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?

Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

View attachment 3045822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unafikiri wanajifikiriaje wazazi wanaojifungua kwa shida na kupelekea watoto wao kufariki kwa kukokosa huduma za afya kwa sababu tu hela ya kodi zetu ya kujenga hospitali vijijini na huduma nyingine inatumika kwa anasa na nyingine kuishia mifukoni mwa genge la watu wachache kwenye serikali inanyiendeshwa na mama? Hela inayipotea kwenye ubadhirifu ambao serikali imeufumbia macho ingeokoa watu wangapi sehemu ambazo hazina huduma ya afya?
Mguu wa bandia ni tone la damu kwenye bahari. Mnaua watu wengi sana nyinyi ma CCM
 
Ila we jamaa unanilazimisha kupata dhambi ya kutukana kimoyomoyo japo sijui matusi. Unanipa wakati mgumu sana. Sijawahi kupata ban ila nna uhakika utakuja kunifanya nipate bila kupenda.

Kweli jambo jema limefanyika. Lakini maelezo Yako yanaondoa mantiki yote ya bandiko lako.

Kwa kuona hili tatizo, kwanini asiimarishe taasisi itakayohakikisha watoto/watu wenye hayo matatizo wanapata hii huduma Kwa urahisi na kufikia wengi?
 
Back
Top Bottom