Hata nikisaidia siwezi kuleta stori ya kutoa mguu mmoja wa bandia kama unachofanya,kwanza sio hadhi kwa status na level ya rais kusifika kanunua mguu wa mmoja bandiaKama ni jambo dogo basi na wewe nenda ukawasaidie wengine
Mwambie mama tunataka mitambo ya nuclear kuzalisha umeme...Ndugu zangu Watanzania,
Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.
Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.
Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?
Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?
Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
View attachment 3045822
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Mheshimiwa Rais ndiye ameleta habari hii hapa jukwaani? Mimi Mwananchi wa kawaida ndiye nimeleta kutokana na kuguswa na uchapakazi wa Rais Samia,moyo wake wa huruma , upendo na utu kwa watu.Hata nikisaidia siwezi kuleta stori ya kutoa mguu mmoja wa bandia kama unachofanya,kwanza sio hadhi kwa status na level ya rais kusifika kanunua mguu wa mmoja bandia
Umemdhalilisha raisKwani Mheshimiwa Rais ndiye ameleta habari hii hapa jukwaani? Mimi Mwananchi wa kawaida ndiye nimeleta kutokana na kuguswa na uchapakazi wa Rais Samia,moyo wake wa huruma , upendo na utu kwa watu.
Umempa upo wa kutosha kwa sasa. Bwawa la mwalimu Nyerere pekee litatupatia Megawati 2115Mwambie mama tunataka mitambo ya nuclear kuzalisha umeme...
Uo mguu akizidi kukua je atakuwa kamwekea bajeti ya kuu apdate uo mguu
Sema wewe wivu ndio umekujaa.Umemdhalilisha rais
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona hapa ndio nimejibana kwa ajili yako ili andiko liwe fupi ephen wangu .Rais Samia kwa mambo mazuri anayoyafanya naweza kuandika andiko refu ambalo nikilitandika chini linaweza kuanzia Tunduma mkoani Songwe hadi kariakoo na bado likawa linaendelea tu,mpaka watu wasome wabaki wanatokwa na machozi tu utafikiri wameingiwa na mchanga machoni.
Huwezi kumsifia rais kwa vijimambo vya ajabu ajabu uo ni ushambaSema wewe wivu ndio umekujaa.
Kama umeumia nenda na wewe ukasaidie tuone kama unaweza na roho lako hilo la kishetaniNdugu,usipoteze muda kujibizana na PUNGUANI,mguu wa bandia hata Diwani anao uwezo wa kumsaidia Mwananchi wake,ni kumshushia hadhi Rais kwa jitu zima kuanzisha Uzi mrefu eti kisa Rais kasaidia mguu wa bandia tena wa mtoto
Unasema hivyo kwa sababu yule siyo mtoto wako.lakini angekuwa mtoto wako ungekuwa na uchungu na usingetanua domo lako kuongea ujinga wako huu kama mlevi wa gongoHuwezi kumsifia rais kwa vijimambo vya ajabu ajabu uo ni ushamba
Huu sio uchawa ni ukunguni kabisa! Wawe wanaangalia na watu wakuwatuma hukuNdugu,usipoteze muda kujibizana na PUNGUANI,mguu wa bandia hata Diwani anao uwezo wa kumsaidia Mwananchi wake,ni kumshushia hadhi Rais kwa jitu zima kuanzisha Uzi mrefu eti kisa Rais kasaidia mguu wa bandia tena wa mtoto
Mama anajali sana ndio wananchi. Lakini sisi mtaani tunaitaji ajira huu ulemavu wa ajira sijui atautibu vipi pasipo kukaa na sisi vijana tumwelekeze njia nzuri yakutufanya tukuwe chapu kwa fursa tunazoziona sisi vijana ila zinakazwa na wafanyakazi wakeUmempa upo wa kutosha kwa sasa. Bwawa la mwalimu Nyerere pekee litatupatia Megawati 2115
We utakuwa chizi ata angekuwa wangu sio issue yakushtua na ni sehemu ya Kodi yapoe mambo makubwa yakusifia sio hizi porojo zako za Kila Leo kazi uliyotumwa umeshindwa kufanya umeboronga mjombaUnasema hivyo kwa sababu yule siyo mtoto wako.lakini angekuwa mtoto wako ungekuwa na uchungu na usingetanua domo lako kuongea ujinga wako huu kama mlevi wa gongo
Rais wetu mpendwa anafanya jitihada na kazi kubwa sana ya kutoa ajira kwa vijana.ndio maana mwaka huu tu ameshatoa kibali cha ajira zaidi ya elfu 42 .ambapo za ualimu zitakuwa karibu elfu 12 huku afya zikiwa takribani elfu kumi na kada zingine nazo zitakuwa za kumwaga.anaendelwa kutoa ajira kila mwaka kwa kadri hali ya uchumi inayoruhusu.lakini pia anaweka mazingira mazuri kwa Secta binafsi kukua ili nayo itoe ajira kwa vijana.pia Secta zinazobeba kundi kubwa la watanzania kama vile kilimo zinaendelea kuboreshwa kuanzia bajeti, pembejeo mpaka soko.Mama anajali sana ndio wananchi. Lakini sisi mtaani tunaitaji ajira huu ulemavu wa ajira sijui atautibu vipi pasipo kukaa na sisi vijana tumwelekeze njia nzuri yakutufanya tukuwe chapu kwa fursa tunazoziona sisi vijana ila zinakazwa na wafanyakazi wake
Mimi nachukia tu jinsi unavyojibu kisiasa woooi mi nakuacha naenda ivyo...Rais wetu mpendwa anafanya jitihada na kazi kubwa sana ya kutoa ajira kwa vijana.ndio maana mwaka huu tu ameshatoa kibali cha ajira zaidi ya elfu 42 .ambapo za ualimu zitakuwa karibu elfu 12 huku afya zikiwa takribani elfu kumi na kada zingine nazo zitakuwa za kumwaga.anaendelwa kutoa ajira kila mwaka kwa kadri hali ya uchumi inayoruhusu.lakini pia anaweka mazingira mazuri kwa Secta binafsi kukua ili nayo itoe ajira kwa vijana.pia Secta zinazobeba kundi kubwa la watanzania kama vile kilimo zinaendelea kuboreshwa kuanzia bajeti, pembejeo mpaka soko.
Nimecheka kama falaUnakuza sana mambo!
Lucas ushawahi kumuona mtu anaongea hadi mdomo unatoa mapovu meupe?
Kwa andiko hilo maana yake unapoteza muda tu hapa jamvini , si ndio.?