Wazazi wanataka mjukuu wanashangaa hawajawahi kuniona na mwanamke

Wazazi wanataka mjukuu wanashangaa hawajawahi kuniona na mwanamke

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Maisha Yana Mambo mengi Sana. Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 29 nakaribia 30 soon,mtoto wa pili Kati ya watoto watano nimemaliza chuo mwaka 2019 sasa hivi nipo mtaani napiga harakati zangu Mungu anasaidia maisha yanasonga JAPO familia yetu inajiweza kipesa sitegemei hela za nyumbani... situmii kilevi chochote Wala sio mtu wa wanawake.

Shida yangu ni wazazi hasa mama yangu amekuwa mtu kunitilia mashaka kisa hajawahi kusikia Nina mwanamke Wala tokea nasoma sijawahi kuleta kesi nyumbani kuhusu wanawake. Mama yangu ni mama anayependa watoto sababu amemlea mtoto wa Kaka first born mpaka amekua na watoto wa majirani washamzoea na wanamuita Bibi.

Juzi niliitwa kwenye kikao nyumbani wanataka nilete mwanamke nimtambulishe au kama kuna sehemu nina mtoto nimpeleke nyumbani wamjue na waishi nae pale labda wana wasiwasi hapati malezi bora huko halipo. Wanasema umri huu ndo mzuri wa kupata mtoto kwa sababu damu inachemka na nitapata watoto wenye akili na afya bora, niliwajibu kwa sasa sina mwanamke wala mtoto (nilidanganya) wakati nipo chuo nilikuwa na mahusiano binti kutoka Moshi na nilimpaga ujauzito ana mtoto wa kike naishia kumuona kwenye picha tu status maana mama yake hataki niwe karibu na mtoto wala hahitaji matunzo yangu tuligombana na nilicheat akajua nimejaribu kumuomba msamaha hataki kuelewa Nika move on. Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️

Juzi wakati nipo mtaani nilisikia umbea sijui tetesi kwenye vikao vya wamama mama yangu anawasimulia wamama wenzake ana wasiwasi na mimi labda nina matatizo au labda sio rijali na anataka atafute wanawake awape hela ili wanitongoze halafu wanipime kama sina tatizo vijana wezangu niliocheza nao mtaani wameoa na wengine wana watoto

Wakuu mimi ni mhanga wa MAPENZI nimepigwa matukio sana kila mwanamke nayekutana nae nahisi ni walewale JAPO wa kujipozea machungu yupo Ila sio wife material na sina mpango wa kumpeleka home. Hii hali inaniumiza sana nifanyeje au niwaeleza nyumbani nina mtoto sehemu nahisi maswali yatakuwa mengi kwanini muda wote sikusema.

Ushauri wenu na mawazo yenu muhimu wakuu nipate muongozo kidogo au nifanye nini nyumbani wanijua kumbe niko vizuri
 
Lazima wawe serious na wewe maana hatari zimekuwa nyingi... Rejea kwa hakika Reuben, afande na wengine.

Bahati mbaya ukifa huna mtoto wanaenda kukuzika mwisho wa shamba alafu kabla hujazikwa wanakuchomekea mkaa wa moto mekunduni uende na laana zako
 
wazazi wako sahihi,peleka mkwe kwenu achana na uhuni wa mtaani utaishia pabaya afu damu haisuswi hata siku moja,uwezo wa kutunza mtoto unao na wazazi wako wanajiweza kwanini unamnyima binti yako upendo wa kutoka upande wa kwenu???hata kama mmegombana na mama yake lakini mnampa shida mtoto jitafakari
 
Ningekuwa na wazazi kama wako haki ya Nan ninge enjoy maisha ....

Sisi huwezi acha mtoto nyumbani et mama yangu atalea atakuadabisha Kwa maneno mpaka utajiona mkosefu na utachukua majukumu ya kulea mwenyewe ..." Mama anakuchana live ,yaani unashinda baa unahangaika na wamama huko unataka nikulelee watoto ,unafikili hapa nyumbani ni UN tunatoa misaada ya kulea watoto wa wanawake wa huko duniani ...[emoji23][emoji23]"
 
Tulia mkuu subiri uletewe hao waliopwa hela pelekea moto wote tena kisawa sawa uhondo ni pale umeletewa watano na wote wakapata mimba hautalazimishwa kumuoa mmoja wapo
 
Maisha Yana Mambo mengi Sana. Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 29 nakaribia 30 soon,mtoto wa pili Kati ya watoto watano nimemaliza chuo mwaka 2019 saiz npo mtaani napiga harakati zangu mungu anasaidia maisha yanasonga JAPO familia yetu inajiweza kipesa sitegemei hela za nyumbani... situmii kilevi chochote Wala sio mtu wa wanawake.

Shida yangu ni wazazi hasa mama yangu amekuwa mtu kunitilia mashaka kisa ajawahi kusikia Nina mwanamke Wala tokea nasoma sijawahi kuleta kesi nyumbani kuhusu wanawake. Mama yangu ni mama anayependa watoto sababu amemlea mtoto wa Kaka first born mpaka amekuna na watoto wa majirani washamzoea na wanamuita Bibi.

Juzi niliitwa kwenye kikao nyumbani wanataka nilete mwanamke nimtambulishe au kama kuna sehemu nina mtoto nimpeleke nyumbani wamjue na waishi nae pale labda wana wasiwasi hapati malezi bora uko halipo..wanasema umri huu ndo mzuri wakupata mtoto kwa sababu damu inachemka na nitapata watoto wenye akiri na afya bora niliwajibu kwa Sasa Sina mwanamke wala mtoto (nilidanganya) wakati npo chuo nilikuwa na mahusiano binti kutoka Moshi na nilimpaga ujauzito ana mtoto wa kike naishia kumuona kwenye picha tu status mana mama yake ataki niwe karibu na mtoto Wala haitaji matunzo yangu tuligombana na nilicheat akajua nimejaribu kumuomba samahani hataki kuelewa Nika move on. Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️

Juzi wakati nipo mtaani nilisikia umbea sijui tetesi kwenye vikao vya wamama mama yangu ana wasimulia wamama wezake ana wasiwasi na Mimi labda Nina matatizo au labda sio rijali na anataka atafute wanawake awape hela ili wanitongoze afu wanipime Kama Sina tatizo vijana wezangu niliocheza nao mtaani wameona na wengine wana watoto

Wakuu mimi ni muanga wa MAPENZI nimepigwa matukio sana kila mwanamke nayekutananae nahisi ni walewale JAPO wakujipozea machungu yupo Ila sio wife material na sina mpango wakumpeleka home. Hii hali inaniumiza sana nifanyeje au niwaeleza nyumbani nina mtoto sehemu nahisi maswali yatakuwa mengi kwanini muda wote sikusema.

Ushauri wenu na mawazo yenu muhimu wakuu nipate muongozo kidogo au nifanye nini nyumbani wanijua kumbe niko vizuri
Sasa hivi ukipata mtoto anapiga show freshi mshukuru mungu
 
Maisha Yana Mambo mengi Sana. Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 29 nakaribia 30 soon,mtoto wa pili Kati ya watoto watano nimemaliza chuo mwaka 2019 saiz npo mtaani napiga harakati zangu mungu anasaidia maisha yanasonga JAPO familia yetu inajiweza kipesa sitegemei hela za nyumbani... situmii kilevi chochote Wala sio mtu wa wanawake.

Shida yangu ni wazazi hasa mama yangu amekuwa mtu kunitilia mashaka kisa ajawahi kusikia Nina mwanamke Wala tokea nasoma sijawahi kuleta kesi nyumbani kuhusu wanawake. Mama yangu ni mama anayependa watoto sababu amemlea mtoto wa Kaka first born mpaka amekuna na watoto wa majirani washamzoea na wanamuita Bibi.

Juzi niliitwa kwenye kikao nyumbani wanataka nilete mwanamke nimtambulishe au kama kuna sehemu nina mtoto nimpeleke nyumbani wamjue na waishi nae pale labda wana wasiwasi hapati malezi bora uko halipo..wanasema umri huu ndo mzuri wakupata mtoto kwa sababu damu inachemka na nitapata watoto wenye akiri na afya bora niliwajibu kwa Sasa Sina mwanamke wala mtoto (nilidanganya) wakati npo chuo nilikuwa na mahusiano binti kutoka Moshi na nilimpaga ujauzito ana mtoto wa kike naishia kumuona kwenye picha tu status mana mama yake ataki niwe karibu na mtoto Wala haitaji matunzo yangu tuligombana na nilicheat akajua nimejaribu kumuomba samahani hataki kuelewa Nika move on. Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️

Juzi wakati nipo mtaani nilisikia umbea sijui tetesi kwenye vikao vya wamama mama yangu ana wasimulia wamama wezake ana wasiwasi na Mimi labda Nina matatizo au labda sio rijali na anataka atafute wanawake awape hela ili wanitongoze afu wanipime Kama Sina tatizo vijana wezangu niliocheza nao mtaani wameona na wengine wana watoto

Wakuu mimi ni muanga wa MAPENZI nimepigwa matukio sana kila mwanamke nayekutananae nahisi ni walewale JAPO wakujipozea machungu yupo Ila sio wife material na sina mpango wakumpeleka home. Hii hali inaniumiza sana nifanyeje au niwaeleza nyumbani nina mtoto sehemu nahisi maswali yatakuwa mengi kwanini muda wote sikusema.

Ushauri wenu na mawazo yenu muhimu wakuu nipate muongozo kidogo au nifanye nini nyumbani wanijua kumbe niko vizuri
Peleka moto dogo acha kulemba zaeni muijaxe dunia,naungana na mama yako mwenye wasiwasi na wewe
 
Mkuu, maisha ya mwanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko, sema ukweli kwa mama kuwa una mtoto.

Muda huu uliobaki wa mama kuwepo duniani, jitahidi akutane na mtoto wako, hawa mama zetu wanabaraka sana, Life is too short to hide something big like that, u gonna regret when it’s too late.
 
Back
Top Bottom