Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #81
Mkuu twende nikupeleke weweMwambie bwana ako akajitambulishe nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu twende nikupeleke weweMwambie bwana ako akajitambulishe nyumbani
😁😁😁😁😁😁Lile tatizo lako la kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi limepona??
😁😁😁Mitaa itaanza kutoa sauti ooh mwamba hapandi mnazi
Sio kidogo aisee 🤣🤣🤣Bimkubwa anazingua mkuu
Mkuu nimekupata nitalifanyia kaziKosa kubwa ulilofanya ni kusema huna mtoto wakati unaye, kiimani ni sawa na umemkana huyo mtoto, sasa hilo ni tatizo.
Wazazi wanakuuliza kama una mtoto alafu wewe unasema hauna ili hali unaye. Mkuu waambie una mtoto anaitwa fulani yupo mkoa fulani, acha uoga wa kitoto Mkuu hakuna atakayekuchapa. 😂
😁😁😁Wana wasiwasi wasije wakawa wamepoteza mtaji.
Mkuu nikiwa mahusiano yanakuwa ya Siri Sana ata rafiki zangu wengine hawajui girl nayetoka naye Niko hivo wasiwasi lazima sababu najificha sanaUrijali ndio sio maneno tu, onesha nyumbani unaempeleka moto
Fact mkuuIshi unavyoona sawa ukifuata pressure za wazee ,sijui majirani ,marafiki hutoboi.Mimi nalazimishwa nifyatue tu eti ukoo wetu mdogo.Huyu niliyenae tu ananitoa mvi.
Aisee ni kweli kabisa kuna mwana nimeambiwa anachezea mjomba jegejo mpaka kichwa kinauma halafu huyo anayemtindua ndio humfikirii kabisaa.Naendelea kujiridhisha ila hali mbaya aisee.Watoto wa kiume/ wanaume mmefikia mahala ambapo hamuaminiki kabisa..... wanaume wengi sahivi ni wake za watu.
Simshangai mama ako kukutilia shaka
Kwanini ujifiche? Unaficha nini?Mkuu nikiwa mahusiano yanakuwa ya Siri Sana ata rafiki zangu wengine hawajui girl nayetoka naye Niko hivo wasiwasi lazima sababu najificha sana
Nko hivo mkuu tokea nasoma nko hivi labda tabia yangu au maleziKwanini ujifiche? Unaficha nini?
Siku hizi simu za wanawake hazishtui....ila simu za wanaume ndio zinashtua #ushoganimwingiAisee ni kweli kabisa kuna mwana nimeambiwa anachezea mjomba jegejo mpaka kichwa kinauma halafu huyo anayemtindua ndio humfikirii kabisaa.Naendelea kujiridhisha ila hali mbaya aisee.
Nishai sana halafu hio maskani ya jamaa ndio mara kibao tunaenda kuvuta muda.Jamaa ananistiza yule mwana anapigwa pipe na anayempiga fulani mbona kitamboo tu.Siku hizi simu za wanawake hazishtui....ila simu za wanaume ndio zinashtua #ushoganimwingi
Kimasihara😁Subiri kwanza mama alipe hivyo vi mada uvitafune
[emoji1787]Lazima wawe serious na wewe maana hatari zimekuwa nyingi... Rejea kwa hakika Reuben, afande na wengine.
Bahati mbaya ukifa huna mtoto wanaenda kukuzika mwisho wa shamba alafu kabla hujazikwa wanakuchomekea mkaa wa moto mekunduni uende na laana zako