Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nkajua me ndo ambaye sielewi lugha za kigeni,Kwakweli nimepitia wakati mgumu sana kuichambua hiyo sentence lakini nimeambulia kapa
Anashindwa kunyoosha maelezo anaanza kutumia lugha zisizoelewekankajua me ndo ambaye sielewi lugha za kigeni,
Hapo kwenye bold panaonesha wazi una shida kubwa sana kisaikolojia ai kiakili. Unawadanganya wazazi wako kwa faida ya nani? au nawe ni walewale wa upinde wa mvua?Maisha Yana Mambo mengi Sana. Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 29 nakaribia 30 soon,mtoto wa pili Kati ya watoto watano nimemaliza chuo mwaka 2019 saiz npo mtaani napiga harakati zangu mungu anasaidia maisha yanasonga JAPO familia yetu inajiweza kipesa sitegemei hela za nyumbani... situmii kilevi chochote Wala sio mtu wa wanawake.
Shida yangu ni wazazi hasa mama yangu amekuwa mtu kunitilia mashaka kisa ajawahi kusikia Nina mwanamke Wala tokea nasoma sijawahi kuleta kesi nyumbani kuhusu wanawake. Mama yangu ni mama anayependa watoto sababu amemlea mtoto wa Kaka first born mpaka amekuna na watoto wa majirani washamzoea na wanamuita Bibi.
Juzi niliitwa kwenye kikao nyumbani wanataka nilete mwanamke nimtambulishe au kama kuna sehemu nina mtoto nimpeleke nyumbani wamjue na waishi nae pale labda wana wasiwasi hapati malezi bora uko halipo..wanasema umri huu ndo mzuri wakupata mtoto kwa sababu damu inachemka na nitapata watoto wenye akiri na afya bora niliwajibu kwa Sasa Sina mwanamke wala mtoto (nilidanganya) wakati npo chuo nilikuwa na mahusiano binti kutoka Moshi na nilimpaga ujauzito ana mtoto wa kike naishia kumuona kwenye picha tu status mana mama yake ataki niwe karibu na mtoto Wala haitaji matunzo yangu tuligombana na nilicheat akajua nimejaribu kumuomba samahani hataki kuelewa Nika move on. Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️
Juzi wakati nipo mtaani nilisikia umbea sijui tetesi kwenye vikao vya wamama mama yangu ana wasimulia wamama wezake ana wasiwasi na Mimi labda Nina matatizo au labda sio rijali na anataka atafute wanawake awape hela ili wanitongoze afu wanipime Kama Sina tatizo vijana wezangu niliocheza nao mtaani wameona na wengine wana watoto
Wakuu mimi ni muanga wa MAPENZI nimepigwa matukio sana kila mwanamke nayekutananae nahisi ni walewale JAPO wakujipozea machungu yupo Ila sio wife material na sina mpango wakumpeleka home. Hii hali inaniumiza sana nifanyeje au niwaeleza nyumbani nina mtoto sehemu nahisi maswali yatakuwa mengi kwanini muda wote sikusema.
Ushauri wenu na mawazo yenu muhimu wakuu nipate muongozo kidogo au nifanye nini nyumbani wanijua kumbe niko vizuri
🤣🤣🤣🤣🙌Anaringisha eti yeye ni mtamu kuliko wake zetu
Umri nao sasa hauwezi kuzeeka na uchachu wa ndimu....lazma utapoa tu 😁Mwanzoni nanyie mnakuaga na dramaz sana sema mkishawezewa mnatulia kama vile sio ninyi 😅😅
Sio siri mnakuwaga vichomi sana.Umri nao sasa hauwezi kuzeeka na uchachu wa ndimu....lazma utapoa tu 😁
Nyie sio vichomi??? Dr gani tena.....nishapigwa chini jamani nipo beach nakula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbali.... jimbo lipo wazi 🎶🎶🎶😁Sio siri mnakuwaga vichomi sana.
Vipi Dr. Wako hajambo?
Si nilikwambia nasubiria loose ball?Nyie sio vichomi??? Dr gani tena.....nishapigwa chini jamani nipo beach nakula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbali.... jimbo lipo wazi 🎶🎶🎶😁
Basi ntongozeeeee 🎶🎶🎶😁😁Si nilikwambia nasubiria loose ball?
Mbona hukusema?😂
Nimesahau kutongoza bibie nitaongea kwa vitendo kiutu uzima tu🤣Basi ntongozeeeee 🎶🎶🎶😁😁
Lile tatizo lako la kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi limepona??Maisha Yana Mambo mengi Sana. Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 29 nakaribia 30 soon,mtoto wa pili Kati ya watoto watano nimemaliza chuo mwaka 2019 saiz npo mtaani napiga harakati zangu mungu anasaidia maisha yanasonga JAPO familia yetu inajiweza kipesa sitegemei hela za nyumbani... situmii kilevi chochote Wala sio mtu wa wanawake.
Shida yangu ni wazazi hasa mama yangu amekuwa mtu kunitilia mashaka kisa ajawahi kusikia Nina mwanamke Wala tokea nasoma sijawahi kuleta kesi nyumbani kuhusu wanawake. Mama yangu ni mama anayependa watoto sababu amemlea mtoto wa Kaka first born mpaka amekuna na watoto wa majirani washamzoea na wanamuita Bibi.
Juzi niliitwa kwenye kikao nyumbani wanataka nilete mwanamke nimtambulishe au kama kuna sehemu nina mtoto nimpeleke nyumbani wamjue na waishi nae pale labda wana wasiwasi hapati malezi bora uko halipo..wanasema umri huu ndo mzuri wakupata mtoto kwa sababu damu inachemka na nitapata watoto wenye akiri na afya bora niliwajibu kwa Sasa Sina mwanamke wala mtoto (nilidanganya) wakati npo chuo nilikuwa na mahusiano binti kutoka Moshi na nilimpaga ujauzito ana mtoto wa kike naishia kumuona kwenye picha tu status mana mama yake ataki niwe karibu na mtoto Wala haitaji matunzo yangu tuligombana na nilicheat akajua nimejaribu kumuomba samahani hataki kuelewa Nika move on. Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N[emoji3531]
Juzi wakati nipo mtaani nilisikia umbea sijui tetesi kwenye vikao vya wamama mama yangu ana wasimulia wamama wezake ana wasiwasi na Mimi labda Nina matatizo au labda sio rijali na anataka atafute wanawake awape hela ili wanitongoze afu wanipime Kama Sina tatizo vijana wezangu niliocheza nao mtaani wameona na wengine wana watoto
Wakuu mimi ni muanga wa MAPENZI nimepigwa matukio sana kila mwanamke nayekutananae nahisi ni walewale JAPO wakujipozea machungu yupo Ila sio wife material na sina mpango wakumpeleka home. Hii hali inaniumiza sana nifanyeje au niwaeleza nyumbani nina mtoto sehemu nahisi maswali yatakuwa mengi kwanini muda wote sikusema.
Ushauri wenu na mawazo yenu muhimu wakuu nipate muongozo kidogo au nifanye nini nyumbani wanijua kumbe niko vizuri
Yaani humu full raha kuondoa stress mkuu 🤣🤣🤣Jf raha sana sio mkuuu 😂😶😂😂😂
Nahitaji ushauri akiri za kikubwaWw unaakili za kitoto
😣😣😣😣Lazima wawe serious na wewe maana hatari zimekuwa nyingi... Rejea kwa hakika Reuben, afande na wengine.
Bahati mbaya ukifa huna mtoto wanaenda kukuzika mwisho wa shamba alafu kabla hujazikwa wanakuchomekea mkaa wa moto mekunduni uende na laana zako
Nimekupata mkuu nitalifanyia kaziwazazi wako sahihi,peleka mkwe kwenu achana na uhuni wa mtaani utaishia pabaya afu damu haisuswi hata siku moja,uwezo wa kutunza mtoto unao na wazazi wako wanajiweza kwanini unamnyima binti yako upendo wa kutoka upande wa kwenu???hata kama mmegombana na mama yake lakini mnampa shida mtoto jitafakari
Bimkubwa anazingua mkuu