Wazazi wanataka mjukuu wanashangaa hawajawahi kuniona na mwanamke

Wazazi wanataka mjukuu wanashangaa hawajawahi kuniona na mwanamke

Angalia usije wapelekea dume lenzako kwamba linataka kukuoa, nchi imekumbwa na vijana wa.ajabu sana
Mkuu npo vizuri Tena napeleka Moto vizuri una Dada uniite shemej
 
Ningekuwa na wazazi kama wako haki ya Nan ninge enjoy maisha ....

Sisi huwezi acha mtoto nyumbani et mama yangu atalea atakuadabisha Kwa maneno mpaka utajiona mkosefu na utachukua majukumu ya kulea mwenyewe ..." Mama anakuchana live ,yaani unashinda baa unahangaika na wamama huko unataka nikulelee watoto ,unafikili hapa nyumbani ni UN tunatoa misaada ya kulea watoto wa wanawake wa huko duniani ...[emoji23][emoji23]"
Familia hazifanani mkuu Kila sehemu Wana malezi yao
 
Tulia mkuu subiri uletewe hao waliopwa hela pelekea moto wote tena kisawa sawa uhondo ni pale umeletewa watano na wote wakapata mimba hautalazimishwa kumuoa mmoja wapo
Mkuu waache waje 😁
 
Kosa kubwa ulilofanya ni kusema huna mtoto wakati unaye, kiimani ni sawa na umemkana huyo mtoto, sasa hilo ni tatizo.

Wazazi wanakuuliza kama una mtoto alafu wewe unasema hauna ili hali unaye. Mkuu waambie una mtoto anaitwa fulani yupo mkoa fulani, acha uoga wa kitoto Mkuu hakuna atakayekuchapa. 😂
 
Mkuu, maisha ya mwanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko, sema ukweli kwa mama kuwa una mtoto.

Muda huu uliobaki wa mama kuwepo duniani, jitahidi akutane na mtoto wako, hawa mama zetu wanabaraka sana, Life is too short to hide something big like that, u gonna regret when it’s too late.
Daah mkuu nitalifanyia kazi ilo familia muhimu machalii wamjue Bibi yao mapema wasije simuliwa tu
 
Ishi unavyoona sawa ukifuata pressure za wazee ,sijui majirani ,marafiki hutoboi.Mimi nalazimishwa nifyatue tu eti ukoo wetu mdogo.Huyu niliyenae tu ananitoa mvi.
 
(Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️)

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Ulikusudia kitu gani hapo juu mkuu?
Mbona kiswahili ni kitamu na ni rafiki yetu mpendwa...kuliko Slay queen a.k.a kimalikia asiyetupenda

(Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter N♥️)

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Ulikusudia kitu gani hapo juu mkuu?
Mbona kiswahili ni kitamu na ni rafiki yetu mpendwa...kuliko Slay queen a.k.a kimalikia asiyetupenda?
Lugha gongana mkuu
 
Watoto wa kiume/ wanaume mmefikia mahala ambapo hamuaminiki kabisa..... wanaume wengi sahivi ni wake za watu.
Simshangai mama ako kukutilia shaka
Lina ukweri Ila kwangu Niko vizuri ni rijali kabisa
 
Wana wasiwasi wasije wakawa wamepoteza mtaji.
 
Hapo kwenye bold panaonesha wazi una shida kubwa sana kisaikolojia ai kiakili. Unawadanganya wazazi wako kwa faida ya nani? au nawe ni walewale wa upinde wa mvua?
Mkuu siunajua wazazi wetu maswali mengi Ila Kuna siku nitawaambia ukweri
 
Back
Top Bottom